Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,313
- 7,961
Ndugu wanachama wa chama cha wachepukaji Tanzania(CCWT), CHAPUTA, wanaume wa Dar, wanaume wa mikoani na wanajukwaa kwa ujumla, habari zenu.
Leo kama kiongozi mwandamizi wa CCWT naomba kutoa tahadhari. Kumekuwa na wimbi la kuongezeka kwa wanachama na vitendo vya uchepukaji Dar na mikoani.
Kuongezeka kwa wanachama inaonesha ni jinsi gani chama hiki kilivyo na umuhimu katika afya ya ndoa. Lakini suala la kutokuwa na kiasi katika kuchepuka ndilo lililonileta hapa jukwaani.
Imefika kipindi mchepuko anakukontro wewe, mkeo/ mmeo, watoto mpaka na maisha yako!!.
wanawake ndo balaa, wanaweza kuambiwa huu mwezi nitakupiga mbupu Mimi tu hakikisha mmeo hakugusi na wakatii. Au mwanaume akajinunisha wiki nzima hajui watoto wanakula nini kisa mchepuko!!.
Hapana kwakweli hebu tuwe na balance, tuchepuke lakini nyumbani kusitikisike. Ukikuta mchepuko anatikisa ndoa yako, temana nae mapema kabisa.
Mtu anafikishwa mpaka mahakamani kwasababu ya kutohudumia familia kisa mchepuko!. Badilikeni, jitahidini kula na vipofu maisha yenyewe ndo haya haya.
Barafu la moto
Leo kama kiongozi mwandamizi wa CCWT naomba kutoa tahadhari. Kumekuwa na wimbi la kuongezeka kwa wanachama na vitendo vya uchepukaji Dar na mikoani.
Kuongezeka kwa wanachama inaonesha ni jinsi gani chama hiki kilivyo na umuhimu katika afya ya ndoa. Lakini suala la kutokuwa na kiasi katika kuchepuka ndilo lililonileta hapa jukwaani.
Imefika kipindi mchepuko anakukontro wewe, mkeo/ mmeo, watoto mpaka na maisha yako!!.
wanawake ndo balaa, wanaweza kuambiwa huu mwezi nitakupiga mbupu Mimi tu hakikisha mmeo hakugusi na wakatii. Au mwanaume akajinunisha wiki nzima hajui watoto wanakula nini kisa mchepuko!!.
Hapana kwakweli hebu tuwe na balance, tuchepuke lakini nyumbani kusitikisike. Ukikuta mchepuko anatikisa ndoa yako, temana nae mapema kabisa.
Mtu anafikishwa mpaka mahakamani kwasababu ya kutohudumia familia kisa mchepuko!. Badilikeni, jitahidini kula na vipofu maisha yenyewe ndo haya haya.
Barafu la moto