JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Penye ukweli usemwe.
Mtu wa kwanza kumsikia akipiga marufuku michango-michango ni TUNDU LISSU.
Wapo wana-CCM walimshutumu sana Tundu Lissu ama kwa kushindwa kumuelewa, au kwa kuongozwa na ushabiki wa vyama.
Lakini sasa Rais Magufuli amekuja kum-vindicate.
Hongera Tundu Lissu kwa msimamo wako thabiti.
cc Pasco, Manyerere Jackton, The Boss, MTAZAMO
Mtu wa kwanza kumsikia akipiga marufuku michango-michango ni TUNDU LISSU.
Wapo wana-CCM walimshutumu sana Tundu Lissu ama kwa kushindwa kumuelewa, au kwa kuongozwa na ushabiki wa vyama.
Lakini sasa Rais Magufuli amekuja kum-vindicate.
Hongera Tundu Lissu kwa msimamo wako thabiti.
cc Pasco, Manyerere Jackton, The Boss, MTAZAMO