Michael Wambura

Michael Wambura

Hakeem makamba

Senior Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
123
Reaction score
41
Hivi huyu jamaa ana matatizo gani kiasi cha kuelekea kukataliwa kila aendako? TFF, Mara na sasa Simba kote wanaonyesha kutokumtaka.

Wanaomjua vizuri hebu tujuzeni.Kulikoni?
 
Hivi huyu jamaa ana matatizo gani kiasi cha kuelekea kukataliwa kila aendako? TFF, Mara na sasa Simba kote wanaonyesha kutokumtaka.Wanaomjua vizuri hebu tujuzeni.Kulikoni?

Mtu makini siku zote mafisadi hawamtaki.

Wambura Ni makini sanaa, ni mchapakazi ni mwanamichezo n.k, kwasasa lazima ashinde mitihani yote.
 
Jamaa yupo makini kijiko anaita kijiko chepe anaita chepe sio big spoon.
 
Miguu ya Wambura haina mvungu ndio maana hawezi kueleweka wala kuelewana na mtu. Watu hawa huwa ni wabishi sana.
 
Wambula siyo mwanamichezo anang'ang'ania mambo ambayo hayawezi.aliharibu akiwa F.A.T pamoja na ndolanga Leo hii tena unataka uingie simba ukaiharibu.watu wanakujuwa sana hivyo hawakuhitaji hata kidogo!!
 
Wambula siyo mwanamichezo anang'ang'ania mambo ambayo hayawezi.aliharibu akiwa F.A.T pamoja na ndolanga Leo hii tena unataka uingie simba ukaiharibu.watu wanakujuwa sana hivyo hawakuhitaji hata kidogo!!

Hata hivyo kwan lazima aongoze football tu mbona kina mwina waliachana na soka wakaenda kuongoza golfu!!!
 
namshauri akagombee kwenye vyama vya draft au bao
 
Back
Top Bottom