Michael Jackson

Utajuaga we mwenyewe na maisha yako, kubishana na wewe mtu usie kuwa na busara naona kama nazidi kujishusha, we endelea na maisha yako yoyote unayo yaona yanakufaa kwenye huu ulimwengu we ni mtu mzima.
 
Mie Mkuu huofia sana kudhihaki maumbile ya binadamu mwenzangu kwa namna yoyote ile. Nimeona kama mara tano au sita hivi watu wakidhihaki binadamu wenzao kwa ulema wao au maumbile na ikatokea bahati mbaya wakapata ajali na wao kupata ulema wa aina fulani. Hivyo huwa naogopa sana Mkuu hasa nikikumbuka msemo wa wahenga kabla hujafa hujaumbwa. Huyu bidada kama binadamu mazuri yake ni mengi mno kuliko mabaya (kama yapo maana mie siyajui) ila kaumbika na ni mchapa kazi mzuri sana anawajali sana watu walio karibu yake ikiwemo wanae na kujitahidi kwa kila namna kuwapa malezi bora. Kusimamia biashara zake pia kama CEO pia si kazi ndogo hasa ukitilia maanani ana watoto watano. Huyu anapaswa kuonekana kama role model kwa wanawake wa Afrika hata nje ya Afrika pia. Mie namuoombea kwa Mola amuongozee.


 
duuuuhh "" nimeshakuwa Dogo "" thawa brother"" but hapa tunachangamsha genge tu "" hakuna ambaye yupo serious '' nashangaa kuona kuna wengine wamepanic kisa tu zari kasemwa"" huo Ni uzwazwa


HAKUNA aliyepanic labda wewe tu, tambua kusema ukweli si kupanic.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…