Wale wapenda NBA najua wengi mtakuwa mliangalia game la Miami Hits vs. San Antonio Spurs. Momambo yalikuwa hivi. Miami 95-87 San Antonio baada ya kwenda sare ya michezo 3-3 katika mechi sita za fainali. Dah sijui Bongo tunaweza kuwa na ushindani kiasi hiki?🙂