Duuh hukutaka hata kujua ameifanyia nini? Kweli mwanaume asipokuwa na hela anakuwa mnyonge sanaYuko poa alichukua mkopo wa kwanza M 15 ila daaaah yote akaipiga kivyake mi sikutaka kumwingilia kwenye fedha zake ,now kaniambia atachukua mwingine ndo namsikilizia anikopeshe kiasi nipambane na biashara nna hasira kinyama na kutafuta hela ila mtaji ndo mtihani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, tena huyo mwenza wako ana utu angelikua mwingine ungeachwa kwenye mataa kitambo sanaDaaaah mkuu hawa wanawake sometimes wakiwa na hela wanakua na ubinafsi mwingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipolitatua hili tatizo litakutesa maisha yako yote.Daaaah mkuu hawa wanawake sometimes wakiwa na hela wanakua na ubinafsi mwingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna tatizo hapo,wenye maamuzi ni wewe na mkeo tu.Unaweza bariki ndoa muda wowote ule iwe ya kidini,kiserikali n.k cha muhimu ni maamuzi yenu nyie wawili tu.Si lazima utoe mahari ndio ufunge ndoa.Na kwa sababu mkeo ulishamzalisha ni wewe na yeye ndio mjadili hilo suala la ndoa,wazazi na ndugu msiwape uzito kwenye hayo maamuzi.Familia yako ni mkeo na watoto wako tu;hao wengine wanafamilia zao,sana sana watakuwa wanawapa ushauri tu.
Mkafunge ya bomaniMkuu hapa napo ni utata manake mi muislam yeye mkristo na kwao wanaulokole flani na yeye kubadili Dini hataki ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kijana mwenzangu kwa misukosuko na mm nilipitia ayo aisee, sema mim nina wasiwasi na mpenzi wako kama amechukua mkopo alishindwa kukuazima pesa ya kupeleka posa mana navyojua mimi wewe na mkeo kitu kimoja sasa nashindwa kuelewa kama ulimpa nauli ya kwenda kufanya interview na kazi akapata sasa iweje kakopa pesa alafu hashindwe kukukopesha hili ukalipe mahaliYuko poa alichukua mkopo wa kwanza M 15 ila daaaah yote akaipiga kivyake mi sikutaka kumwingilia kwenye fedha zake ,now kaniambia atachukua mwingine ndo namsikilizia anikopeshe kiasi nipambane na biashara nna hasira kinyama na kutafuta hela ila mtaji ndo mtihani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli wanaweza kwenda lakini bado hawajatoa posa hili linaweza likawa lina tatizo au imekaaje !!Nyinyi ni dini gani? Kama ni wa Wakatoliki nendeni kwa padri muandikishe ndoa. Mnafunga ya kati kati ya wiki baada ya misa ya kwanza. Nyinyi na mashahidi wenu tu lakini mtaishi kwa haki mbele ya macho ya Mungu.
Pole kijana mwenzangu kwa misukosuko na mm nilipitia ayo aisee, sema mim nina wasiwasi na mpenzi wako kama amechukua mkopo alishindwa kukuazima pesa ya kupeleka posa mana navyojua mimi wewe na mkeo kitu kimoja sasa nashindwa kuelewa kama ulimpa nauli ya kwenda kufanya interview na kazi akapata sasa iweje kakopa pesa alafu hashindwe kukukopesha hili ukalipe mahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hapa kwakweli ni mbombo ngafuMkuu hapa napo ni utata manake mi muislam yeye mkristo na kwao wanaulokole flani na yeye kubadili Dini hataki ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Communication, mnawataarifu wazazi kuwa mambo yamekaa vibaya ila mnaomba baraka za Mungu. unapeleka posa au unaweza kumtuma mshenga akirudi na barua ya mahitaji mnaiweka sandukuni kwanza pesa ikipatikana mna bariki ndoa na sherehe kubwaNi kweli wanaweza kwenda lakini bado hawajatoa posa hili linaweza likawa lina tatizo au imekaaje !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kujistukia kwingii.Duuh hukutaka hata kujua ameifanyia nini? Kweli mwanaume asipokuwa na hela anakuwa mnyonge sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenichekesha japo ulichoandika hakifurahishi, lakini yote kwa yote pole sana cha msingi kwenye maisha haya ni Afya na uzima Tu mambo Mengine mbwembwe tu Mungu akufanyie wepesiAnafuata msemo wa kwenye biblia kwamba mwanaume atakula kwa jasho so nahisi anasubiri nitusue mwaka wowote ule nitumie hela nliyoitafuta kwa jasho langu kufanya masuala ya mahari na maendeleo mengine ya kifamilia yeye kuniazima ya kwake labda anaona anaenda kinyume na maandiko
Sent using Jamii Forums mobile app
sema mim nina wasiwasi na mpenzi wako kama amechukua mkopo alishindwa kukuazima pesa ya kupeleka posa mana navyojua mimi wewe na mkeo kitu kimoja sasa nashindwa kuelewa kama ulimpa nauli ya kwenda kufanya interview na kazi akapata sasa iweje kakopa pesa alafu hashindwe kukukopesha hili ukalipe mahali.
Wakuu salaam
R.I.P Godzilla
Daaaah sometimes mwenzenu nakaa nawaza sana ,yaani umaskini ni mbaya sana kwa kweli
Mi ni baba wa watoto wawili,mmoja wa kike mkubwa na mwingine wa kiume miezi kadhaa
Kitu kinachonifanya sometimes nikae na mawazo na kujiona sitendi haki kwa mwenzangu ni hii hali ya kukaa nae miaka mingi takribani 7 bila ndoa,barua ya posa wala kutambulishana rasmi
Huyu mama watoto nlikutana nae enzi nipo Chuo ,ila yeye alishamaliza certificate so akihangaika kutafuta kazi ,basi tukaanza kudate hadi alipopata kibarua mkoani DSM Maisha yakaendelea na mwisho nikampa mimba,tulipanga iwe hivyo.
Ikabidi niwape taarifa kwao kwamba nimempa mimba binti yao,hapo wazazi wake hawanijui,mamake kanimind kinyama nikamwambia kama vipi mkae basi na binti yenu na mimba yake,ila baadae babake akaingilia kati mambo yakaa sawa
Nikaenda kwa mamake mdogo kukamilisha baadhi ya taratibu za kwao nikaanza kukaa nae rasmi ghetto kazi ikamshinda kutokana na mimba kuendelea kukua,nikamfungulia biashara kwa hela yangu ya boom Maisha yakaendelea vizuri
Nimekaa nae ghetto akaitwa interview flani na mimba yake ya miezi 8 nikamsafirisha hadi DSM akapiga interview akarudi ,ilipofika miezi 9 akajifungua mtoto wa kike,tulifurahi sana nikaendelea kukaa nae ghetto mamake Mdogo akawa anakuja anamkanda na kumpa huduma zingine Maisha yakaendelea
Baada ya miezi 3 tangu mwanangu azaliwe mama mtoto akapata ajira rasmi kupitia ile interview aliyoifanya tena kazi yenye mshahara mnono
Nikampa hela akaenda kuripoti kazini mkoa wa mbali na nilipo,wakati huo nimeshamaliza Chuo na ramani zimeanza kugoma
Baada ya muda nikamtembelea mama mtoto na likizo moja nikaenda kwao nikaonana na wazazi na ndugu zake wengine wakanitambua kama ndio mimi nimmemzalisha mwanao,basi nikaendelea kupewa heshima zote
Maisha yakaendelea hadi tumepata mtoto wa pili,huyu binti nyumbani kwa ndugu zangu hawajawahi kumwona physically zaidi ya kwenye picha na kuzungumza nao kwenye simu na anapewa heshima zote na ndugu zangu
Kitu ambacho kinaniwazisha ni hali yangu ya kiuchumi hadi nimeshindwa kumpeleka home manake ni distance inatakiwa nijipange kweli kweli na nikichek mbele sioni dalili ya kuwa stable kichumi kwa wakati huu,naishi kwa kuunga unga tu natuma matumizi kidogo kidogo ya watoto
Sasa nawaza miaka 7 yote kwao sijapeleka mahari,wala barua ya posa, home kwa ndugu zangu sijampeleka manake wazazi wangu walishadead kitambo sana
Nakosaga raha sana kitendo cha kukosa hela ya mahari ya kimlipia huyu binti ingawa kwao sijapewa kiwango cha kulipa kwa maana hata barua ya posa sijapeleka kwa miaka yote 7
Nishaurini wakuu nifanyaje nipate hela ya kutosha nikajitambulishe kwao na kutoa japo kishika uchumba,manake naona heshima itapotea kabisa kwa wakwe zangu na ndugu zake kisa sijalipa mahari wala kishika uchumba na hii ni kwa sababu hali yangu ya kipato ni ndogo mno naweza kulipa kodi,kula na kidogo kutuma kwa watoto .
Ushauri please
Sent using Jamii Forums mobile app
Quran inasemaje kuhusu hilo?Anafuata msemo wa kwenye biblia kwamba mwanaume atakula kwa jasho so nahisi anasubiri nitusue mwaka wowote ule nitumie hela nliyoitafuta kwa jasho langu kufanya masuala ya mahari na maendeleo mengine ya kifamilia yeye kuniazima ya kwake labda anaona anaenda kinyume na maandiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujilipia mahari mbona ipo mkuu na ni kawaida tu japo kwako sio applicable
Seriously!!!!