Lyangalo JF-Expert Member Sep 10, 2009 679 234 Oct 13, 2011 #1 Hapa ndo utaona kama taifa hatuna vision kila rais na yake. Ila huyo mwenye suti na suitcase anaonekana yupo serious zaidi kutuondoa kwenye umaskini! Tafakari chukua hatua!
Hapa ndo utaona kama taifa hatuna vision kila rais na yake. Ila huyo mwenye suti na suitcase anaonekana yupo serious zaidi kutuondoa kwenye umaskini! Tafakari chukua hatua!
M Maria77 Member Jun 2, 2009 18 1 Oct 14, 2011 #2 kazi kweli kweli!na suti ni lazima akachague sasa akikaa hapa nani atamchagulia?