Watetezi wa Malima kwa Unafiki siwawezi hadi leo hamkubali kuwa kutumia namba kwenye mitihani ni utaratibu uliokuwepo kabla malima hajawa waziri? Kweli nyie vichwa panzi
Sijui kwa nini Invisible & Co. waliondoa kile kitufe cha "Thanks".........anyway Mkuu Kinyungu asante sana......hawa nami nawaita wanafiki........au ndio wale vijana wa "gogovivu"