FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Nawapenda pia (hasa ww)mkeo na mwanao juniour,duh but (tunanong'ona)hukuwahi kutoka nje?hongera sana na Mungu mwingi wa rehema na kusamehe akusamehe makosa yako yote uliotenda nje ya ndoa pia awazidishie miaka mingine 5550
Nawapenda pia (hasa ww)mkeo na mwanao juniour,duh but (tunanong'ona)hukuwahi kutoka nje?hongera sana na Mungu mwingi wa rehema na kusamehe akusamehe makosa yako yote uliotenda nje ya ndoa pia awazidishie miaka mingine 5550
Yaani wewe ni mchokozi siku zote. Kwa nini unaleta hizo hadithi wakati tunasherekea miaka 5? Kama ungemuuliza Xpin naamini angekupatia jibu zuri sana,
Mbona umeadimika hivyo?
Hongera zako sana. Mara nyingi watu katika miaka mitano ya kwanza huwa bado katika "honeymoon" baada ya kutimiza miaka hiyo ndiyo shughuli rasmi za majaribuni huanza na watalamu wanasema haya majaribuni huwa ni kati ya waka wa tano hadi wa saba na wakati mwingi hadi wa 10, lakini ndoa moja ni tofauti kabisa na nyingine siku zote haziwezi kushabihiana. Kila la heri Mkuu.
Wana JF!
Namshukuru Mungu kwa kutujaalia uzima na afya njema! Sifa na Utukufu ni vyake yeye!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya pekee mwanetu Junior hapo kwenye avatar! Mungu mlinde na umpe uhai hata naye aje asherehekee kama mimi leo!
Wapendwa wana JF napenda kuwashirikisha kuwa ifikapo tarehe 4 April 2010 mimi na shemeji/wifi yenu tutatimiza miaka 5 ya kuishi kama Mke na mume!
Miaka 5 sio mingi ni kweli lakini pia ni mingi katika maisha ya ndoa; Wangapi hawajafika? na siwafichi it was not a smooth ride always! Ila kwa msaada wa Mungu tumepita katika milima na mabonde na leo hii kwa ushujaa tunafurahi kuwa tulivuka na tutavuka yajayo mbele yetu kwa msaada wake yeye atutiaye nguvu! Jina la Bwana Yesu libarikiwe!
Naomba nichukue nafasi hii pia kuwaombeni kila mtu kwa imani yake; Jamani tuziombee ndoa zetu na tuwaombee wanandoa wote; NDOA ndio msingi wa Familia zetu; kuanguka kwake ni anguko la Familia na mmomonyoko wa society yetu! Familia imara zitaleta Watanzania imara wa baadaye na wenye uwezo wa kuijenga nchi yao!
Kwa nini ninaituma leo hii; Nitakuwa mapumziko kuanzia kesho kwangu mimi hii ni Double celebration ; Pasaka na Miaka 5 ya ndoa!
Nawapenda nyote
Mungu awabariki!
Pearl na ww unaingia kwa machale jamani
Masikini Jeuri,
Congrats!!
Kama ulivyosema katika ulimwengu wa sasa hivi si wengi tulio kwenye ndoa tunaweza kufika miaka uliyofika. tumekuwa tunaendesha mapenzi ya kisasa ya i dont give a shit if i remain maried.
Happy double celebration!!
Hongera zako sana. Mara nyingi watu katika miaka mitano ya kwanza huwa bado katika "honeymoon" baada ya kutimiza miaka hiyo ndiyo shughuli rasmi za majaribuni huanza na watalamu wanasema haya majaribuni huwa ni kati ya waka wa tano hadi wa saba na wakati mwingi hadi wa 10, lakini ndoa moja ni tofauti kabisa na nyingine siku zote haziwezi kushabihiana. Kila la heri Mkuu.
kazi nyingi mpz nisamehe
Yaani wewe ni mchokozi siku zote. Kwa nini unaleta hizo hadithi wakati tunasherekea miaka 5? Kama ungemuuliza Xpin naamini angekupatia jibu zuri sana,
Mbona umeadimika hivyo?
Nimejibu doubts ulizokuwa nazo?
hahahaa....... si uchokozi mai dia, si ndio maisha yalivyo..... tusherehekee alkini tuwe wakweli, aimeen open kwa wapendwa wetu..... halafu xpin nimemmiss kweli, alivyo bahili hata simu hapigi mpaka mi i ndio nimpigie!
hapo kwenye bold kazi nyingi mpz nisamehe
majibu yalikuwa swaaafi na poooouwa kabisa.
Hiyo bold ni muhimu! Ndo maana unaenda kwenye sherehe kama hizo watu wanapiga makofi wakiwa wameangalia pembeni (yaani wapo pale kutimiza wajibu). kama nitatoa mwaliko nataka wapwaz waje na confidence na tuna nyuso za amani na si vinginevyo!
Haileti raha kama unasherehekea umewaalika watu kisha unaomba shughuli iishe mapema siri yako isibumburuke!
Am wit you sis! Ingawa hujajibu hoja yangu nachukulia ukimya wako ni kuwa umeridhika!
hoja gani tena jamani MJ? mbona nimejibu.. fafanua basi kidogo bana