Katika dimba la Luzhniki, pale jijini Moscow, miaka 10 iliyopita ilipigwa fainali ya aina yake.
Fainali ya Uefa Champions League, ambapo ilikutanisha timu mbili kutoka Uingereza. Man Utd Vs Chelsea. Dakika 90, ziliisha kwa 1-1 mtanange ukaelekea extra time bado ikawa 1-1.
Mechi ikaingia ktk changamoto ya penati, Man Utd ikashinda 6-5 dhidi ya Chelsea huku Nahodha wa Chelsea John Terry akikosa penati muhimu. Unakumbuka ulikuwa wapi? Unakumbuka nini?
Karibuni...
Nakumbuka John Terry akikosa penati muhimu. Unakumbuka ulikuwa wapi? Unakumbuka nini?
Karibuni...eeh ulkua wapi una kumbuka nini kama.mimi nilivyo kumbuka
Unatizma Champion League Final kama unatizama PL!!! timu zote zinavizia tu kila mtu anamtegea mwenziwe, nguvu tupu uwanjani, hawana hata quality ndani ya uwanja. Vibiru na mbio tu.