Miaka 10 baadae, Unakumbuka nini kutoka katika Fainali hii?

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,032
Katika dimba la Luzhniki, pale jijini Moscow, miaka 10 iliyopita ilipigwa fainali ya aina yake.
Fainali ya Uefa Champions League, ambapo ilikutanisha timu mbili kutoka Uingereza. Man Utd Vs Chelsea. Dakika 90, ziliisha kwa 1-1 mtanange ukaelekea extra time bado ikawa 1-1.
Mechi ikaingia ktk changamoto ya penati, Man Utd ikashinda 6-5 dhidi ya Chelsea huku Nahodha wa Chelsea John Terry akikosa penati muhimu. Unakumbuka ulikuwa wapi? Unakumbuka nini?
Karibuni...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…