huna hoja.
Haya dembaba
huna hoja.
mhh mtalaka hatongozwi ehh!!! au ndio kupasha kiporo moto!!!!
Habari wana MMU
"Mi ndoa sitaki kwa kweli napenda unavyogegeda na huo mgegedio wako"
"Nimetembea na wengi ila hakuna aliokidhi haja zaidi ya wavulana 15 natafuta mithili yako ila cjamuona"
"Nimeshaoneshwa mkeo na kwako nimeshaoneshwa kwa hio usipokubali kurudiana na mie wala usiwe na hofu mi sitaki uniowe ila nataka nitapokuhitaji kimapenzi unifike na km unadharura nukupate ndani ya siku 2 zitazofuata"
Hayo ni maneno ya mpenzi wa zamani baada ya kuonana leo.
Nimeachana nae miaka 6 iliopita nilipoamua kuowa.
Mwezenu nisaidieni janga hili nimenizidi kimo.
miaka 6 bado hagegedwi au anataka kukupa MAJANGA mwenzako keshazunguka kote kalikwaa
kwahyo hapo huyo "MWANAMKE" kashakuzidi akil na maarifa yako yote?
mh una maneno weye haya,Ataibomoa nyumba kwa mikono yake.....atakosa bara na pwani!!!!!
hahah yaleyale eti kisima cha kale hakifikiwi ila sio poa kumfanyia mke wako hivi hasa ukizingatia nae ana hisia na anakupendaNinae mmoja kama wa hivi
Namtumia wife akiwa anaumwa au kasafiri;kuwa nae wa akiba kunafanya maisha yawe rahisi sana!
Namshauri jamaa huyu asimkimbie huyu X wake!Kama bado anafaa kwa matumizi ya binadam atamsaidia sana baadae!
Kanyaga twende....
Mwulize mzabzab
Halafu kaadimika humu balaa, au yuko likizo yenye malipo
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums