mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Habari wana MMU
"Mi ndoa sitaki kwa kweli napenda unavyogegeda na huo mgegedio wako"
"Nimetembea na wengi ila hakuna aliokidhi haja zaidi ya wavulana 15 natafuta mithili yako ila cjamuona"
"Nimeshaoneshwa mkeo na kwako nimeshaoneshwa kwa hio usipokubali kurudiana na mie wala usiwe na hofu mi sitaki uniowe ila nataka nitapokuhitaji kimapenzi unifike na km unadharura nukupate ndani ya siku 2 zitazofuata"
Hayo ni maneno ya mpenzi wa zamani baada ya kuonana leo.
Nimeachana nae miaka 6 iliopita nilipoamua kuowa.
Mwezenu nisaidieni janga hili nimenizidi kimo.
"Mi ndoa sitaki kwa kweli napenda unavyogegeda na huo mgegedio wako"
"Nimetembea na wengi ila hakuna aliokidhi haja zaidi ya wavulana 15 natafuta mithili yako ila cjamuona"
"Nimeshaoneshwa mkeo na kwako nimeshaoneshwa kwa hio usipokubali kurudiana na mie wala usiwe na hofu mi sitaki uniowe ila nataka nitapokuhitaji kimapenzi unifike na km unadharura nukupate ndani ya siku 2 zitazofuata"
Hayo ni maneno ya mpenzi wa zamani baada ya kuonana leo.
Nimeachana nae miaka 6 iliopita nilipoamua kuowa.
Mwezenu nisaidieni janga hili nimenizidi kimo.