Mi naipenda tuu...

vkeisy2006

JF-Expert Member
Mar 26, 2010
229
99
Jamani mi sielewi labda mniambie kwani hii avatar ina tatizo gani.....unaujua ule msemo unaosema usione ukazani.....ndo naomba utumike hapa.....naomba pia niwaombe radhi wale wote waliokwazika na hii avatar na pia niwasahihishe wale wote waliosema nipo kibiashara zaidi coz NO HELL NO am not ni vile tuu niliipenda hiyo avatar thats y nikaiweka hapo ilipo niliiona tu ya kawaida kam ile tu ya cheusimangala,na wengineo.....sikuona tatizo lolote lakini kumbe ina walakini mi sikuuona coz i think it luks gud....au?watu wanasema nibadilishe niweke nyingine ndo watanisaidia shida yangu jamni kweli huu sio ubaguzi eeh mana mimi i like it au?na it seems okey labda nakosea.....sijielewi au?mimi najirespect sana ile ni avatar tuu ambayo mtu yeyote anaweza akaweka msinifikirie vibaya jamani eeeh wan JF
 
Itabidi nitafute key board ya waterproof maana udenda unanichuruzika...kifua cha aina hiyo ndio ugonjwa wangu kama ni majaribu umeninasa nimeshindwa hata kukemea.
 
Jamani mi sielewi labda mniambie kwani hii avatar ina tatizo gani.....unaujua ule msemo unaosema usione ukazani.....ndo naomba utumike hapa.....naomba pia niwaombe radhi wale wote waliokwazika na hii avatar na pia niwasahihishe wale wote waliosema nipo kibiashara zaidi coz NO HELL NO am not ni vile tuu niliipenda hiyo avatar thats y nikaiweka hapo ilipo niliiona tu ya kawaida kam ile tu ya cheusimangala,na wengineo.....sikuona tatizo lolote lakini kumbe ina walakini mi sikuuona coz i think it luks gud....au?watu wanasema nibadilishe niweke nyingine ndo watanisaidia shida yangu jamni kweli huu sio ubaguzi eeh mana mimi i like it au?na it seems okey labda nakosea.....sijielewi au?mimi najirespect sana ile ni avatar tuu ambayo mtu yeyote anaweza akaweka msinifikirie vibaya jamani eeeh wan JF

Watu ndio washaona... na wameshadhani... itabidi uitoe tu ili wasiendelee kudhani...Teh teh teh
 
AK-47 aliyekuambia hiyo ni kifua ni nani hebu iangalie muda mrefu ilatela picha nyingi hapo....mi naona sio kifua bana...au...
 
Mbona kuna nyingine zipo humu JF zenye kukwaza tu, kamua tu bibie vkeisy2006.....maskini ndoa yangu!!!
 
AK-47 aliyekuambia hiyo ni kifua ni nani hebu iangalie muda mrefu ilatela picha nyingi hapo....mi naona sio kifua bana...au...

sure thing!!............kuna mshughuliko hap chini....not gud bana! tuwe honest angalao kidogo.
 
Jamani mi sielewi labda mniambie kwani hii avatar ina tatizo gani.....unaujua ule msemo unaosema usione ukazani.....ndo naomba utumike hapa.....naomba pia niwaombe radhi wale wote waliokwazika na hii avatar na pia niwasahihishe wale wote waliosema nipo kibiashara zaidi coz NO HELL NO am not ni vile tuu niliipenda hiyo avatar thats y nikaiweka hapo ilipo niliiona tu ya kawaida kam ile tu ya cheusimangala,na wengineo.....sikuona tatizo lolote lakini kumbe ina walakini mi sikuuona coz i think it luks gud....au?watu wanasema nibadilishe niweke nyingine ndo watanisaidia shida yangu jamni kweli huu sio ubaguzi eeh mana mimi i like it au?na it seems okey labda nakosea.....sijielewi au?mimi najirespect sana ile ni avatar tuu ambayo mtu yeyote anaweza akaweka msinifikirie vibaya jamani eeeh wan JF

Itoe basi..........
 
HIKI SI KIFUA TUU AU MI CJAONA VIZURI......kwani hii nini au misioni vizuri au dah lakini poa ngoja toe ila against my will
 
HIKI SI KIFUA TUU AU MI CJAONA VIZURI......kwani hii nini au misioni vizuri au dah lakini poa ngoja toe ila against my will

motion ya kifua katikati ya shughuli

please badilisha kwa manufaa yako binafsi na wengine pia!!! Ni chafu hiyo kitu yako
 
Honestly every time I come across ur posts i scroll down/up very fast, I dont read your posts... i dont wanna that kind of stuff to appear on my screen.... now pls i beg u to change it... we wanna know who is this person behind the avatar..
 
itoe tu mama haijatulia.....mtu akiwa ktk public hawezi kusoma post zako maana mtu atadhani unaangalia porno.....hata ya cheusimangala ina mitego lkn ni kwa sbb ya lile umbo lkn ya cheusi haionyeshi sehemu za siri....hii ya kwako imezidi....hata kama ni kututega basi mnazidisha hadi mtatuwekea na porno clips kabisa....!
halafu watu wamekwambia hawakupi jibu la biashara sbb ya hii lkn unaitetea which shows that you were not serious na suala la biashara uliyoongelea..........!
which is important to you..........,this nasty avatar or the business idea uliyokuwa unaulizia!i guess u were jokin.......!
 
Back
Top Bottom