"MTAZAMO WA KIJASUSI"
Bomu wamerusha chadema wenyewe kwa kuwatumia gaidi wao mmoja kati ya hawa
1. Ben saa nane huyu alisomea somalia namna ya kutumia mabom ya mikono
2.Deusi aman jr huyu alisomea kutumia risasi na kuvunja watu shingo LIBIYA So baada ya Beni saa nane kurusha bom huyu alimkava kama SNAIPA akidungua kutokea mbali mtu yoyote aletaka kumzua ben saa nane wakati anakimbia katikati ya watu
3.LWAKATARE Huyu alisomea kupanga ramani za kiharifu Monorovia Ndio aliewasign task TASK Vijana hao wawili Task.....
JE LENGO LA MKAKATI HUU NI NINI?
1.Kwanza ni vigumu kwa mtanzania yoyote kuamini tunaweza jishambulia...katika mkutano wetu
2. Mara baada ya kujishambulia Tutalaanu Vikali Mashambulizi hayo kwa serikali ya CCM na kufanya watanzania waichukuie CCM na kufanya tushike dola kirahisi......
3.Mara baada ya watu kufa kundi la vijana wakiongozwa na john heche watapiga picha haraka ambazo zitatmika kama kuonyesha wafadhiri wetu kua tunauwawa hii itatusaidia kuongezewa misaada ya kifedha..ili kukijenga chama chetu....
MKAKATI WENU UPO WAZI SASA TUTAONA