KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 294
Ndugu zangu wana JF!
Ni rahisi sana linapotokea tukio la kuuliwa kwa raia au raia kuandamana kulihusisha na kauli ya DR. SLAA aliposema nchi HAITATAWALIKA....!
(Japo wanaosema hivyo wote hawakusoma vishazi huru na tegemezi na au Minor and Major Premises ndo maana hilo hitimisho lake halioneshi maneno aliyoyasema kabla...!)
LAKINI kwa makususdi kabisa SERIKALI na MAKADA wa CCM hawajataka TUIKUMBUKE tena kwa jicho kali kauli ya MWIGULU NCHEMBA aliyesema "ARUSHA MKIIKATAA CCM, MTAKUFA TU"
Hii kauli ISIYOWEZA KUPITA HIVI HIVI!
Hatuhitaji milioni MIA MOJA....
MILIONI MIA MOJA zipelekwe kuhudumia majeruhi tu!
MWINGULU hawezi kutoka hivi hivi!
TAFAKARI
Ni rahisi sana linapotokea tukio la kuuliwa kwa raia au raia kuandamana kulihusisha na kauli ya DR. SLAA aliposema nchi HAITATAWALIKA....!
(Japo wanaosema hivyo wote hawakusoma vishazi huru na tegemezi na au Minor and Major Premises ndo maana hilo hitimisho lake halioneshi maneno aliyoyasema kabla...!)
LAKINI kwa makususdi kabisa SERIKALI na MAKADA wa CCM hawajataka TUIKUMBUKE tena kwa jicho kali kauli ya MWIGULU NCHEMBA aliyesema "ARUSHA MKIIKATAA CCM, MTAKUFA TU"
Hii kauli ISIYOWEZA KUPITA HIVI HIVI!
Hatuhitaji milioni MIA MOJA....
MILIONI MIA MOJA zipelekwe kuhudumia majeruhi tu!
MWINGULU hawezi kutoka hivi hivi!
TAFAKARI