29 okt ndio tutazungumza lugha moja. Jana si leo, Maandishi Tz hayafuatwi. Kama katiba yenyewe inakiukwa mchana kweupeeeee, itakuwa hizo fomu za maadili. Na jana si leo, dunia inakwenda haraka sana. Wanajitambua hawa kuliko unavyofikiria wewe.
Napenda uelewe kitu kimoja: Kwa mwanasiasa yeyote anayepatikana kwa kuchaguliwa na wanachi hata kama ni mgombea pekee akashindana na kivuli (Mfano wakati wa Mwl Nyerere). Na ikafahamika kuwa yeye kapata 40% na kivuli kikapata 60%. Na kwenye kutangaza wakapindua hizo namba, mwanasiasa huyo hatakuwa na raha katika uongozi wa kipindi chake chote.
Kwa hiyo mimi naamini kuwa matokeo ya hizi chaguzi, hata kama CCM watafoji, lakini huko ndani wanaambiana ukweli. Kuwa mwenzetu tumekutetea kwa nguvu zote, lakini ulipata 40%. Hizi namba ndio zinawafanya CCM wabadilike.
Ni kweli na uko sahihi. Ila Tanganyika ina karibu ya wananchi zaidi ya milioni 55. Kwa hiyo ni kazi kweli kweli kufoji uchaguzi Tanganyika kama zaidi ya 60% wakasema No. Utakubaliana nami kuwa kwa bahati mbaya CCM bado inakaubaliwa kwa takriban 50% kwa Tanganyika tofauti na Zzibar.Wananchi wa Zanzibar hawajawahi kupiga kura kwa wingi kuiondoa CCM kule, ila bado CCM inafaulu kukimbia na masanduku ya kura?
Haoni au hataki kuona? Mbona liko wazi na very simple, ukihamasisha watu wasiende kupiga kura inamaanisha nini? Haina mashiko kivipi?Ninaamini ACT wame-focus kwenye kampeni ya "Oktoba tunalinda kura" hili ni jambo lao.
Sijibizani na CHADEMA. Ninachosema tujadili dhana hizi 2 kwa faida ya Taifa.
Kwa mfano: Ndugu Polepole katika mazungumzo yake amekuwa muwazi kuwa yeye hakubaliani na NO REFORM NO ELECTION kwa vile kauli hiyo haina mashiko. Akaendelea kwa kusema, haoni utekelezaji wa kauli hiyo utafanywa vipi na wanachama na watanzania wameelimishwa faida, hasara kwa Taifa.
#MHUNI HASUSIWI UCHGUZI - Tuseme usemi huu ni joke ya mwaka na NO REFORM NO ELECTION ndio habari ya mjini, Swali hivi huko nyuma CHADEMA imewahi kususia uchaguzi? Kama jibu ni yes, ilipata nini?
Nathamini mchango wako. Ila kuna wengine wanaamini kuwa uchaguzi upo na hata wengine toka CHADEMA. Hawa wamelazimika kutafuta majukwaa mengine na kuomba ridhaa yakugombea nafasi tofauti kupitia vyama hivyo.
Kamsikilize Muliro alivowajibu kwenye Ile interview yake aliyofanya
Unareply kama umekatwa kichwa... Ukiskiliza ndo utakua kama hiyo press ilikua inamfavor act au yoyote mwenye campaign against ccm.Leo ACT mpo upande wa muliro?
Nasikia CHADEMA.
ACT wako sahihi kabisa. Ni suala la wapiga kura wote wa chadema na ACT kuunganisha nguvu ili kumuonyesha aliyeko madarakani kuwa hatakiwi.
Ni kupiga kura kwa wingi sana ili waogope
Watanzania hatudanganyikia, ACT ni kibaraka wa CCM.Ni kweli na uko sahihi. Ila Tanganyika ina karibu ya wananchi zaidi ya milioni 55. Kwa hiyo ni kazi kweli kweli kufoji uchaguzi Tanganyika kama zaidi ya 60% wakasema No. Utakubaliana nami kuwa kwa bahati mbaya CCM bado inakaubaliwa kwa takriban 50% kwa Tanganyika tofauti na Zzibar.
Unareply kama umekatwa kichwa... Ukiskiliza ndo utakua kama hiyo press ilikua inamfavor act au yoyote mwenye campaign against ccm.
Ninaamini ACT wame-focus kwenye kampeni ya "Oktoba tunalinda kura" hili ni jambo lao.
Sijibizani na CHADEMA. Ninachosema tujadili dhana hizi 2 kwa faida ya Taifa.
Kwa mfano: Ndugu Polepole katika mazungumzo yake amekuwa muwazi kuwa yeye hakubaliani na NO REFORM NO ELECTION kwa vile kauli hiyo haina mashiko. Akaendelea kwa kusema, haoni utekelezaji wa kauli hiyo utafanywa vipi na wanachama na watanzania wameelimishwa faida, hasara kwa Taifa.
The biggest joke now ake waliosusiaACT is a joke, a big joke in town. 😁
Angalia reply zako huna hoja, siku zote mfinyu wa mawazo na akili anakimbilia kutusi..... Unaongea vitu hujui usije hapa na half baked information. And fyi Mimi sio ccm ila nachukia watu wanaoongea vitu wasivyovijua kama wewe. Unaamka na mihemko hujui hata siasa imeendajePunguza ujinga wewe chawa. Nimekureply wewe?. Peleka uccm wako kwa Samiah.
Kwenye hili, tupo pamoja kwani hata mimi namlaumu kukimbilia Urais badala ya kutetea jimbo lake la Kisesa.
Hata ACT wenyewe wamechemka, sijui kwanini hili hawakuliona. Hapo nimemdharau Mpina, alifaa sana kugombea ubunge.