Nimetoka kunywa supu mitaa ya kati cmu yangu niliacha mezani na kwenda kunawa mikono mhudumu wkt anatoa vyombo akatoa na cmu yangu yaani kitendo kimefanyika ndani ya dk.2 nashangaa cmu haionekani. Kuuliza watu pale kila mtu anakataa wakaitwa wahudumu wote wakakataa mzee mmoja akasema taja namba yako kijana nikataja akapiga heee kati ya wahudumu 8 mmoja akaanza kucheza Kiduku pale watu tukawa tunashangaa mzee akawa anasema mbona cmu inaita dah kumbe yule aliye kuwa akicheza kiduku ndiye aliye nikwapulia na kuificha kwenye nyeti zake sasa wkt cmu inaita ilikuwa inamtekenya i see mmmh ikabidi aitoe pale dah na kuiweka mezani imetoka na shombo lol imeniradhimu ninunue sprit na kuipiga soap soap
Akina Baba_Enock, Asprin, Kimey, Teamo, Bigirita, Kaizer na wengineo tuwe makini tunavyo acha cmu mezani heri ya kina dada wanatembea na mikoba mikuuuubwa
wangeiacha tu muhudumu amalize.......hiyo simu ilibidi iite kama mara tano hivi, na wala usingeipata, naanga ingekuwa umelowa mpaka betri
Jamani nadhani c wahudumu wote wako hivyo. Mi kuna mhudumu Moro alinitunzia cm nilioisahau mezani. Tena ndo nilikuwa natoka kuinunua.pole sana mkuu..hawa wahudumu huwa wanaclear meza na simu kana kwamba simu nayo ni mifupa then wanapiga kimya huyo sio mzoefu, maana hakuweza kukumbuka issue ya kuizima..besides umempa mbinu mpya ya kujimalizia issue kama atakmwama kumpata mwanaume. anajiwekea simu yake anaipga then twende kazi, mpaka anajirdhisha.mchezo kwishnei
Nimekwapuliwa kwenye sumu kweli natafuta housing nyingine hii nimepiga na sprit lakini bado inanuka shombo
Niache iendelee kunukia sio?
Pole sana Fidel80 da ila hiyo simu ya kuwekwa kwenye nyeti ..haifai tena toa line umpelekee zawadi ya simu huyo mwizi wako
Mpwa ilikuwa Ikulu
Love the nurse ivi graduu lini tena?Kumbe kweli poooole mwaya nitakuletea tukikutana kwenye graduuu poleee
Huyu Fidel kila siku tunamwambia hizi baa na mijengo ya manzese sio zenyewe kabisa....Ivi mjukuu mtukutu, kumbe simu ikiwekwa sehem sehem bado inakuwa na netiweki?
:doh::doh::doh::doh::dohole mkuu, yaelekea huyu hajaujua mji vizuri alisahaua hata kuizima? au hukumpa huo muda