mwakafuka1981
Member
- Mar 21, 2015
- 21
- 3
Leo mheshimiwa Thelathini alikuwepo Ihumwa Dodoma hakuna jipya zaidi ya kuendelea kupita kwenye kazi ngumu na nzito aliyofanya Zitto Zuberi Kabwe na kuwakashifu wapiga wa jimbo la Dodoma embu CHADEMA wampe taaluma ya kuongea kwenye majukwaa.