Albano Daud
Senior Member
- Aug 23, 2025
- 187
- 209
Kufa tunakufa ni neno la mungu lakini sio vizuri kuombeana kufa.Kwani akifa kuna ajabu? Afe tu kama wengine walivyokufa, yeye ni nani na mimi ni nani hata tusife?
Hii ndo shida watu wanapokea taarifa ambazo hazina hata ushahidi.Good to hear ....Mkuu
The real issue lies in the fact that information without understanding is meaningless.
Lazima tufe maana mungu alisema tutakufa.Atakufa na wewe utakufa.
Waislamu wana Msemo wao Japo sikubaliani nao.
Kila Nafsi itaonja Mauti.
ATAKUFA MSHENZI MUUAJI YULE.
SOON
Hayaland mbona ni mtu mwema na mzurii sana kwenye kuchambua mada na kushaurii..HAYA LAND
Umekuja baada ya kufanya utapeli mwingi hapa jamii forums
Usije kushangaa, kesho usimwone tena na ikawa moja kwa moja...Ndugu zangu wana JF natumaini mko wazima wa afya.
Leo Mheshimiwa Raisi ameonekana ni mzima. Kwa wale ambao walijipanga, walijiandaa au kutunza Pesa kwa ajiri ya kulewa na kuumwagilia moyo juu ya kifo cha Mheshimiwa Raisi, poleni sana kwa maana ya njia za Mungu sio za Binadamu.
Msife mioyo, nina ushauri juu ya hizo Pesa, mnaweza kuzitumia kwa namna nyingine mfano;
La mwisho;
- Kuchangia yatima,
- kuongeza mitaji, ikiwa mitaji midogo,
- Au kuwatumia wazazi wafurahi msimu huu wa sikukuu,
- Kuwasaidia masikini ikifaa,
- Na shughuli zingine zinazofaa au zinazompendeza mungu.
Tuombeane mwisho Mwema Ndugu na Dada zangu kwa maana sisi tu wasafiri humu ulimwenguni.
Videos na picha alizoonekana leo ni AIHii ndo shida watu wanapokea taarifa ambazo hazina hata ushahidi.
Taratibu mkuu bia moja tu umeanza kuyamwaga. Tengecha kaagiza mkonyagi mkubwa tuliaKwani akifa kuna ajabu? Afe tu kama wengine walivyokufa, yeye ni nani na mimi ni nani hata tusife?
Embu tuone itakuwaje hapo mbeleni.Usije kushangaa, kesho usimwone tena na ikawa moja kwa moja...
Kwa upande wangu I don't even want neither see or hear her irritating voice anymore...
Na mimi ofcoz nimemwona. Lakini she was not herself. Anaonekana ni very unconfident, mwanake mwenye kuweweseka, aliyejaa mashaka na hofu kuu...
Obvious, amekula sindano nyingi sana za kumfanya aamke inagalau aonekane kwenye tukio hili...
I will not be surprised this one be her last open event to be seen
Ni ajabu kuwa watu waliompigia kura 98% sawa na Watanganyika 32,000,000 wamemgeuka mchaguliwa wao kiasi cha kumuombea kifo kimpate haraka bila kuchelewa...!!
Mwambieni aachie JF msipate tabu kuingia humu na nyinyi chawa mnautumia huu mtandao kueneza propaganda zake.Ndugu zangu wana JF natumaini mko wazima wa afya.
Leo Mheshimiwa Raisi ameonekana ni mzima. Kwa wale ambao walijipanga, walijiandaa au kutunza Pesa kwa ajiri ya kulewa na kuumwagilia moyo juu ya kifo cha Mheshimiwa Raisi, poleni sana kwa maana ya njia za Mungu sio za Binadamu.
Msife mioyo, nina ushauri juu ya hizo Pesa, mnaweza kuzitumia kwa namna nyingine mfano;
La mwisho;
- Kuchangia yatima,
- kuongeza mitaji, ikiwa mitaji midogo,
- Au kuwatumia wazazi wafurahi msimu huu wa sikukuu,
- Kuwasaidia masikini ikifaa,
- Na shughuli zingine zinazofaa au zinazompendeza mungu.
Tuombeane mwisho Mwema Ndugu na Dada zangu kwa maana sisi tu wasafiri humu ulimwenguni.
Duh..Hana uheshimiwa wowote huyo.
Mkuu kutoa ushauri siku hizi ni propaganda.!?Mwambieni aachie JF msipate tabu kuingia humu na nyinyi chawa mnautumia huu mtandao kueneza propaganda zake.