Mheshimiwa Peter Msigwa Live Magic FM

Mheshimiwa Peter Msigwa Live Magic FM

TinyMonster

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2009
Posts
242
Reaction score
154
Mheshimiwa Peter Msigwa yupo live kwenye kipindi cha Makutano na Fina Mango, msikilize kupitia link hiyo hapo chini


[video]http://ustream.tv/channel/makutanoshow[/video]

UPDATE:

Video za wakati akiohojiwa hizi hapa chini:




 
Last edited by a moderator:
fina anatukosea heshima siku hizi kwa sababu hatupatii taarifa mapema.
 
Last edited by a moderator:
Namkubali msigwa,anadai kinana atamtambua mahakamani,ameweka mawakili 8 wa Chadema,Big up Kamanda.Tembo wetu na twiga sasa watapona.Viva Chadema viva kamanda.
 
Kwel uwezo unatofautiana last week katika hiki kipindi alihojiwa Tundu lissu..yaan wakati namsikiliza tundu lissu kwa jinsi alivopangalia maneno na jinsi alivokua anajibu nilikua naona kama mda ni mdogo na hautoshi yani alikua anatoa jiwe anaweka nondo..sasa uyu msigwa leo sioni hata cha maana anachoongea ndo kwanza sa 11 na dk 28 naona hata mda hauendi anaongea pumba tuu kazi kuleta vingereza tuu ambavyo hata havisaidii..kwel tundu ni jembe
 
Good speach. Anasema ukikamatwa kwa kutetea haki huwezi kuumia wala kujisikia vibaya ndani ya nafsi yake
 
Msigwa tunashukuru maana tembo wetu now wapo salama.
 
nasikiliza live toka majuu.sio clear sana maana inakatika katika.i wish Magic FM wangerushia through tunein.com
 
Kwel uwezo unatofautiana last week katika hiki kipindi alihojiwa Tundu lissu..yaan wakati namsikiliza tundu lissu kwa jinsi alivopangalia maneno na jinsi alivokua anajibu nilikua naona kama mda ni mdogo na hautoshi yani alikua anatoa jiwe anaweka nondo..sasa uyu msigwa leo sioni hata cha maana anachoongea ndo kwanza sa 11 na dk 28 naona hata mda hauendi anaongea pumba tuu kazi kuleta vingereza tuu ambavyo hata havisaidii..kwel tundu ni jembe
wewe ni ------,kwani kuongea kiingereza ni kosa?acha ugamba ww,dogo anashuka mistari si mchezo.jinyonge basi..vituo ni vingi vya kusikiliza,hama kituo.
 
amefunga mjadala. nadhani watu kama kina Ritz, FaizaFoxy, HAMY-D na magamba wengine humu wataanza kukosa buku 7 kwa sababu hiyo hoja haiuzi tena.

source: magic fm, na Bi.Fina Mango.
 
Unadhani hawa watu uwa wanachoka? Majungu kwao ni kazi, kila post wanalipwa shs 500 na Thread wanalipwa 1000.
 
Ni mbumbu wachache sana wa CCM Lumumba ambao bado wanakomalia hiyo, hata Mwigulu anaelekea kuacha kuropoka huo ujinga wa Ki-CCM. Kisa? Kuna watu wamemnanga humu JF na kuhoji kwanini alikwenda kuchumbia Machame?
 
Unadhani hawa watu uwa wanachoka? Majungu kwao ni kazi, kila post wanalipwa shs 500 na Thread wanalipwa 1000.

Hahaaa.. Ndiyo maana HAMY-D anajitahidi kupost thread nyingi humu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
wewe ni ------,kwani kuongea kiingereza ni kosa?acha ugamba ww,dogo anashuka mistari si mchezo.jinyonge basi..vituo ni vingi vya kusikiliza,hama kituo.

anashuka mistari kwako..jamaa anaongea flat tuu yan ahamasishi mtu kuendelea kumsikiliza inshort hana jipya uwez compare kabisa na tundu lissu alivoongea last week sema ndo ivo uwezo watu wanatofautiana...sina chama mkuu me nasikiliza kitu anachoongea mtu sifuati upepo kibwegebwege tuu
 
Back
Top Bottom