Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 312
Nimeupenda ushauri wake kwa middle class....kuwa watu watabaka hili wanapenda kuwa spectators na kuwashauri wengine ungefanya hivi...huku wao wakijificha na vigari vyao na vinyumba vyao.....
Amewataka wajiunge na ukombozi....Chama watachagua wenyewe ila cha muhimu waingie watu wenye reasoning katika uongozi!
ASANTE MSIGWA.
Amewataka wajiunge na ukombozi....Chama watachagua wenyewe ila cha muhimu waingie watu wenye reasoning katika uongozi!
ASANTE MSIGWA.