Mheshimiwa Mbatia, karibu CHADEMA

Mheshimiwa Mbatia, karibu CHADEMA

JEMEDARI .H.

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
341
Reaction score
63
Jaman nimependa mbatia aje chadema ili column itimie mambo yatakuwa mazuri zaid 2015
 
Mbatia yuko kwenye chama makini NCCR na muda si mrefu ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani
 
Hastahili kuja CDM haendani na kasi yao kwani yeye sio mwanamabadiliko .Pia yeye ni mrs magamba c baada ya CUF kuolewa.
 
Mbatia yuko kwenye chama makini NCCR na muda si mrefu ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani

Mkuu wapunzani wenyewe watarajiwa wakikusikia!!,CCM ndo chama kikuu cha upinzani kuanzia 2015
 
Baregu na Zitto Pekee chu.pi zinawapwaya akija Mbatia si Zitawavuka kabisa! Hawa watu watatu walipewa vichwa kupata Fikra huru sio tufe la kubebea Nyimbo za DJ!
 
Mbatia yuko kwenye chama makini NCCR na muda si mrefu ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani
ha ha ha kwi kwi kwi kwi he he he nicheke mie ndoto za abunuasi chama cha upinzani kwa chadema manake CCM ni chama mfu already then you are right
 
Baregu na Zitto Pekee chu.pi zinawapwaya akija Mbatia si Zitawavuka kabisa! Hawa watu watatu walipewa vichwa kupata Fikra huru sio tufe la kubebea Nyimbo za DJ!
Mbatia ni empty tin Kafulila alimpora chama bila Sam Ruhuza kumuokoa Chama kingekuwa headquaters yake kigoma kusini as we speak ,amebaki kutanua midomo tu bila effect yeyote akiitisha mkutano akipata watu ishirini anashangaa
 
Mbatia ni empty tin Kafulila alimpora chama bila Sam Ruhuza kumuokoa Chama kingekuwa headquaters yake kigoma kusini as we speak ,amebaki kutanua midomo tu bila effect yeyote akiitisha mkutano akipata watu ishirini anashangaa

Uko juu!.
 
Mbatia yuko kwenye chama makini NCCR na muda si mrefu ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani

Chilisosi aka Chris lukosi, wewe ni ndumilakuwili, kinyonga, mchumia tumbo, huna msimamo, maisha yamekushinda, unatumika kama condoms, domo kaya, domo kunuka, domo chafu, una roho mbaya, mropokaji kama nape nauye, huna elimu, huna future, huna karatasi za UK, mbeya, majungu, fitina, mnafiki na fedhuli.ngugu zangu wapendwa wananchi, hebu tumpuuze huyu mganga njaa Chris lukosi kwani hafai ktk jamii na tumtenge!
 
Mbatia yuko kwenye chama makini NCCR na muda si mrefu ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani

Usiwe ----- wewe,chama ambacho muda si mrefu kitakua cha upinzani ni CCM.
 
Back
Top Bottom