Mheshimiwa Mbatia, karibu CHADEMA

Mheshimiwa Mbatia, karibu CHADEMA

CDM hapamfai kwani uwepo wake upinzani hauna tofauti na ule wa mrema miaka 1995
 
Wakuu mbatia ni mpambanaji tena anajenga hoja kwa hiyo mm naona anaweza kuendana na kasi
 
Jaman nimependa mbatia aje chadema ili column itimie mambo yatakuwa mazuri zaid 2015

Tatizo wengi humu ndani huwa hamfanyi utafiti wa kina ili mpate taarifa zitakazoweza wasaidia kuelewa mambo kwa undani... Anyway pengine ni hulka mbayo tumejijengea ama tumejengewa bila ya sisi wenyewe kujitambua... NCCR ili anzishwa kama chombo cha kusimamia mageuzi ya vyama vingi hapa Tanzania. Chombo hiki kiliundwa na nguli kutoka TISS! Baada ya wao kufanya tathimini yao na kuishauri serikali iliyokuwepo madarakani, ili amuliwa kuwa hicho chombo kiongezwe neno Mageuzi na kuwa chama cha upinzani kitakacho wahadaa Wapenda mabadiliko!!!

Kwa kuwa chama hiki kilikuwa kimejaa wajinga wajinga watu kama wenyewe wanavyopenda kujinasib, mzozo siku zote zilikuwa ni kwenye Ruzuku! Rejea valangati la Tanga enzi za Mrema alipomvalisha mwenzake kofia baada ya umeme kuzimwa na wao kuanza kuzichapa gizani...

Bila ya kupoteza mantiki naomba ni kuhakikishie kuwa Mbatia kuteuliwa na Rais kuwa Mbunge haikuwa bahati mbaya...
 
Mh Mbatia anaonesha msimamo thabiti, anafaa kutangulia na wengine wakafuata, kwa hivyo kwa ushauri wangu ningemshauri ajiunge na chadema kwa ajiri ya kuongoza nchi jkwa mwaka 2015. Ili aweze kujiunga na wenzake watetea haki ya watu, wananchi wa Tanzania.
 
...tabu akikosa ubunge,lazima pachimbike aisee...
 
Hakosi ubunge yule atapata na atakuwa waziri wa elimu chadema tukichukua nchi.
 
kufanya nini? hujui nae ana chembe chembe za magamba.
Hiyo sentensi, inaweza ikawa na kaukweli fulani, si mnajua huyu jamaa, aliteuliwa katika ubunge wa viti maalum na JK?

Sasa swali la kujiuliza, inakuwaje kiongozi wa juu kabisa wa CCM, akutunukie zawadi hiyo ya ubunge maalum?

Kama wewe, hufungamani na sera zao za kutaka kudidimiza demokrasia nchini mwetu, kwa kutaka kuviangamiza vyama makini, vinavyoonyesha kuwa tishio la utawala wao,umewezaje kuqualify kupata nafasi hiyo?!
 
Noooooooo....Mtamuharibu, Mbatia ni mtu makini sana hawezi kuchanganywa na watu kama Lema, Mdee, Msigwa....

Mchukueni Serukamba
 
Tatizo wengi humu ndani huwa hamfanyi utafiti wa kina ili mpate taarifa zitakazoweza wasaidia kuelewa mambo kwa undani... Anyway pengine ni hulka mbayo tumejijengea ama tumejengewa bila ya sisi wenyewe kujitambua... NCCR ili anzishwa kama chombo cha kusimamia mageuzi ya vyama vingi hapa Tanzania. Chombo hiki kiliundwa na nguli kutoka TISS! Baada ya wao kufanya tathimini yao na kuishauri serikali iliyokuwepo madarakani, ili amuliwa kuwa hicho chombo kiongezwe neno Mageuzi na kuwa chama cha upinzani kitakacho wahadaa Wapenda mabadiliko!!!

Kwa kuwa chama hiki kilikuwa kimejaa wajinga wajinga watu kama wenyewe wanavyopenda kujinasib, mzozo siku zote zilikuwa ni kwenye Ruzuku! Rejea valangati la Tanga enzi za Mrema alipomvalisha mwenzake kofia baada ya umeme kuzimwa na wao kuanza kuzichapa gizani...

Bila ya kupoteza mantiki naomba ni kuhakikishie kuwa Mbatia kuteuliwa na Rais kuwa Mbunge haikuwa bahati mbaya...
Hata ule moto wa kina Machali bungeni umepungua baada ya Mbatia kuingia huko.
 
Kwa mawazo yangu mimi ni kwamba siyo mbatia tu chadema tunamhitaji lipumba na mtatiro hawa jamaa na wakiungana na team mzima inayoongozwa na mzee slaa ni hatari tupu kwa ccm ila wasiwe na uchu wa madaraka wakubali vyeo watakavyopata ili iwe rahisi wao kupata uwaziri na ubalozi UK OR US.
 
Mbatia sidhani kama anaweza kupata nafasi kwani itabidi asubirie kama hawa hapa deo filikunjombe,mkosamali,bashe,samuel sita na sumaye.
 
Mbatia haiwezekani hata kidogo, roho yake mwenyewe itamsuta!
 
Kwa mawazo yangu mimi ni kwamba siyo mbatia tu chadema tunamhitaji lipumba na mtatiro hawa jamaa na wakiungana na team mzima inayoongozwa na mzee slaa ni hatari tupu kwa ccm ila wasiwe na uchu wa madaraka wakubali vyeo watakavyopata ili iwe rahisi wao kupata uwaziri na ubalozi UK OR US.

Mawazo ya kuongeza "hazina" ni mazuri kwa sababu ukiomuondoa tegemeo (dokta wiliburodi) na huyo Zito ndio hamumuelewi, wanaobaki wote ni hewa..........Lisu, Sugu. Lema.....duh..

Sema sasa sipati picha...kwenye kapu moja Lipumba, Slaa, Mbowe.....mmmh... Labda mpendekeze katiba mpya itambue ikulu mbili.
 
Hana tofauti prezzo! Akija c ndiyo wataungana kutuulia chama chetu!
 
Back
Top Bottom