Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 440
Kasema Maghembe kajiundia bodi ya kahawa ya nchi nzima yenye wanakilimanjao tupu, kaenda Mbeya wananchi wakagomea kanuni za manunuzi ya kahawa mbichi still akaja Dar fasta na kusaini kanuni zitumike. Kwa kifupi kasema ni ujeuri tu Maghembe hivyo kawaomba wabunge wazalendo wasipitishe bajeti ya waziri mkuu mpaka waziri mkuu atengue hizo kitu.
My take, kwa mwendo huu CCM itafika kweli 2015 maana moto wa Mpina bado jivu halijatoweka, huku Filikunjombe naye anataka change ya rada ipewe jina lake stahiki yaani CHANGE YA RUSHWA YA RADA au CHANGE ILIYOTOKANA NA RUSHWA YA RADA!
My take, kwa mwendo huu CCM itafika kweli 2015 maana moto wa Mpina bado jivu halijatoweka, huku Filikunjombe naye anataka change ya rada ipewe jina lake stahiki yaani CHANGE YA RUSHWA YA RADA au CHANGE ILIYOTOKANA NA RUSHWA YA RADA!