Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kampeni Arusha

Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kampeni Arusha

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kampeni Arusha akiungwa mkono na viongozi wengine pamoja na Wanachama.

11889641_801020006682659_977777573396618614_n.png


11891163_801020030015990_4165755842736634706_n.png


11885080_801020120015981_5219355362920990597_n.png


11902442_801020113349315_7447469762079727019_n.png


11887841_801020130015980_7775822554659466624_n.png


11889569_801020206682639_4039885381797440126_n.png


11900011_801020250015968_1343736900906241408_n.png


11960117_801020246682635_6566073770339343272_n.png


11889456_801020260015967_17899257507817127_n.png


11880368_801020346682625_2280345220034425780_n.png


11902553_801020373349289_2295240033110979856_n.png


11889641_801020006682659_977777573396618614_n.png
 
You know what ninacheka sana wagombea was uraisi na wabunge wanapo ona kuwa watu wengi ndio ushindi wala naomba niwaambie kwamba uwingi sio jibu kwani imegawanyika katika sehemu 5
1.wengine hawana kadi yakupiga kura.. 2.wengiine hawajafika umri wakupigakura. 3.ziku yakura hawaji kwa majukumu menigine. 4 yupo na atavaa nguuo rangi zote lakini anajua anachagua Nani???.5.usalama tete Sana mabomu. vitishosho kwa mabosi wao au marafiki or nafamilia yako kwa kifupi umati sio maana sana
 
You know what ninacheka sana wagombea was uraisi na wabunge wanapo ona kuwa watu wengi ndio ushindi wala naomba niwaambie kwamba uwingi sio jibu kwani imegawanyika katika sehemu 5
1.wengine hawana kadi yakupiga kura.. 2.wengiine hawajafika umri wakupigakura. 3.ziku yakura hawaji kwa majukumu menigine. 4 yupo na atavaa nguuo rangi zote lakini anajua anachagua Nani???.5.usalama tete Sana mabomu. vitishosho kwa mabosi wao au marafiki or nafamilia yako kwa kifupi umati sio maana sana
Keep on laughing
 
Huyu ajuza anatoa ahadi hewa kumzidi Kikwete,apuuzwe kwa dharua anayostahili
 
ccm tunakosea kumpeleka huyu bara kwa wasomi huyu aende Tanga Bagamoyo Lindi na Mtwara mnavuna aibu tu
 
Kuja kutuvizia stand ya kilombero na kusababisha usumbufu baada ya kufunga gate la kutokea na kutufanya tuonekana tuko kwenye mkutano wake, ni akili ndogo aisee tuko kwenye mishe zetu mnataka kututumia kama wahudhuriaji
 
Kuja kutuvizia stand ya kilombero na kusababisha usumbufu baada ya kufunga gate la kutokea na kutufanya tuonekana tuko kwenye mkutano wake, ni akili ndogo aisee tuko kwenye mishe zetu mnataka kututumia kama wahudhuriaji
Arusha imekuwa Kilombero, Aisee umepaniki mapema hii.
 
Pole inaonekana umetumiwa picha, uliza stand ya hice Arusha iko wapi na inaitwaje, usikariri
 
Arusha imekuwa Kilombero, Aisee umepaniki mapema hii.

unachobisha Ni nini sasa Arusha Mjini mlifanyia stand ndogo ya daladala maarufu Kilombero na magate yakafungwa najuabhujui maana unatumiwa picha tu tahira we we..
 
Eti naye jimama hili KAKATWA! Watu wamemsuta huko Arusha, hawamtaki!
 
me nlijua arusha ccm haina wafuasi kabisa..kumbe wana nyomi hivyo
 
unachobisha Ni nini sasa Arusha Mjini mlifanyia stand ndogo ya daladala maarufu Kilombero na magate yakafungwa najuabhujui maana unatumiwa picha tu tahira we we..

Mkuu afu ujue nlishangaa imekuaje hawakwenda kufanyia Mkutano pale Sheik Amri Abed uwanja wa mpira ule ambao wanaumiliki wao ccm, kwa kua walijua hawatapata Umati wakaamua kufwata watu kwenye lango la Soko (Kilombero) uwanja wa stand ya daladala, pikipiki na Tax kisha kufunga mageti ya soko eti kisa ili kutengeneza msongamano walau mama asidhalilike, Hakyamungu Lema ni Mbunge lakin akipitaga pale Sokoni tu wanaomfuataga ni wengi kuliko waliokuasanywa kwa lazima pale....
 
me nlijua arusha ccm haina wafuasi kabisa..kumbe wana nyomi hivyo

Nyomi wapi kaka angalia picha vizuri waliokaa mbele karibu na jukwaa ndo wenye Sare tu hao waliobakia kule nyuma ni watu baki waliotawala mambo yao stand na Sokoni pale, hawa wavaa Sare mama anatembea nao kwa Mabasi pia wanaandaliwa viti ili wachukue eneo kubwa sio ile style ya kusimama wima wima kama Ukawa ambao hufurisha maelfu.
 
Nyomi wapi kaka angalia picha vizuri waliokaa mbele karibu na jukwaa ndo wenye Sare tu hao waliobakia kule nyuma ni watu baki waliotawala mambo yao stand na Sokoni pale, hawa wavaa Sare mama anatembea nao kwa Mabasi pia wanaandaliwa viti ili wachukue eneo kubwa sio ile style ya kusimama wima wima kama Ukawa ambao hufurisha maelfu.

Jana kwenye birthday party nani alivaa sare?
 
Back
Top Bottom