Mhe. Rais Magufuli, Anza na Kusaini Hati za Wote Waliohukumiwa Kifo, Wanyongwe Haraka Haraka Mpaka..

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,494
113,590
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati mbili tuu, moja ni ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu, na ya pili ni ya mhindi mmoja aliyemuua mke wake, kisha kuuweka mwili wake kwenye gari, kisha kulisukumia bondeni ionekane ni ajali ili alipwe bima nono!.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote haikutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka!.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Update.
Kwa vile mimi ndio mwanzisha mada, na kuna mada mtu unaanzisha with the motive behind, amini usiami, mada kama hizi zimesaidia sana kuleta mabadiliko na the desired changes, sasa imebaki kufutwa tuu rasmi kwa adhabu ya kifo, toka kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Thanks for changing for the better.

Paskali

Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
 
ha! we inakufaidisha nini..?
halafu mbona umekomalia au una lako jambo..
ingelikuwa mmoja wa ndugu yako yuko kwenye hilo kundi ungejisikiaje.. haya mambo hayahitaji haraka wengine humo usikute wamebambikiwa na wewe unasapoti tu.

kwa maamuzi ya mkulu jinsi yalivyo mi naomba apunguziwe baadhi ya madaraka maana tutaisoma kwelikweli
 
Pasco, are you serious? Unataka wanyongwe ama unataka JPM asaini? Kuna uzi mwingine pia umejaribu kusema kuwa huruma ya JK ni udhaifu hasa kwa kutopenda watu wanyongwe! Kwa Mantiki hiyo Nyerere alikuwa dhaifu sana kwa kuwa aliidhinisha unyongwaji muuaji wa rafiki yake Dr. Kleruu na Mkapa pia alikuwa dhaifu zaidi kwa kuwa hakuidhinisha unyongwaji. Madikteta wote wanashabikia unyongwaji na kwa kweli ni wauaji!
Nilimsikia Nyerere katika hotuba yake moja akieleza kwanini hakupenda wakosaji waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa wanyongwe. Alisema kuwa mkosaji huyu amehukumiwa kunyongwa kwa kuwa alimuua mtu. Na hilo ni kosa kubwa sana lenye adhabu ya kiwango kikubwa sana. Alisema, "Mimi nikiruhusu kuwa mkosaji huyu anyongwe, maana yake na mimi nafanya kosa lile lile alilofanya! Aliua mtu na mimi naruhusu kuwa auwawe kwa hiyo tuko sawa hapa. Wote ni wauaji. Sheria si kigezo kwa kuwa sheria hizi tumetunga sisi, na kwakweli mwenye ruhusa ya kuuondoa uhai wa mtu ni yeye aliyeuweka ambaye ni Mwenyezi Mungu!" Pia alitoa sababu nyingine kuwa mtu akiua mtu, taifa limepoteza raia mmoja. Tukiruhusu aliyeuwa naye auwawe maana yake taifa linapata hasara ya watu wawili. Lakini pia nani aliyewahi kuonja mauti akarudi ili atuambie kuwa adhabu ya kumuua mtu inalingana na kosa lake la kuumuua mtu?
Huenda huo ndio ulikuwa udhaifu wa Nyerere na ndio udhaifu(?????) wa Kikwete! Ila mimi naamini kuwa kumsamehe mtu ni moja ya evidence za maturity. Mtu dhaifu hawezi kumsamehe mtu. Ni mtu mjasiri tu na mkomavu wa nafsi ndiye anayeweza kusamehe. Ni ngumu sana kwa mwanaume mdhaifu kumsamehe mkewe anapokosea. Ni mwanaume mkomavu tu ndiye awezaye! Tabia za kulipiza kisasi, ubabe, kutumia nguvu badala ya hoja, kuamrisha badala ya kujadiliana na kutumia nguvu ya ushawishi, kuzira, kulalamika, kusingizia wengine, kutokuwajibika n.k. zinaonyesha kuwa mhusika ni dhaifu kwa ndani na kwa nje ana compplement udhaifu huo na udikteta. Kikwete hakuwa dhaifu!!!
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kutosaini hati za vifo zilizoko mezani kwake.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
wanyongwe hadi kufa kama ilivyoamua mahakama. pascal mayala unachanganya mambo, kunyongwa ni utekelezaji wa hukumu ya mahakama na sio matakwa ya kiongozi hata kama anatakiwa kusaini. wanyongwe tu
 
5a95cc7b5d3ce8b5c107300103d7dac0.jpg
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kutosaini hati za vifo zilizoko mezani kwake.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Maneno ya mdomoni tu, hana ubavu huo, kama huamini subiri uone kama atasaini
 
Wenzetu ulaya na marekani waliokubuhu kwenye sayansi,hasa ya upelelezi,matumizi ya DNA wameanza kuwaachia baadhi ya waliohukumiwa kunyongwa,

Uchunguzi wa DNA ukifanyika upya,wanakuta aliyehukumiwa kunyongwa si muhusika taking accounpt uwezo mkubwa wa polisi kupika kesi.

Kama yeye anasahau idadi ya sheria(ile ya madawa)sembuse hii human justice inayofanywa na majaji
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kutosaini hati za vifo zilizoko mezani kwake.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Huyu jinsi alivyokatili atawanyonga wengi kasolo wasukuma ila naye siku yake ikifika mauti itamkuta tu
 
Ingawaji wamekosa lakini ni Watanzania wenzetu
Ingawaji hata mmoja wao simjui
Lakini sijui ni kwa nini.!
Hao watu wanao taka kunyongwa nimegundua
Roho inaniuma.
 
Ingawaji wamekosa lakini ni Watanzania wenzetu
Ingawaji hata mmoja wao simjui
Lakini sijui ni kwa nini.!
Hao watu wanao taka kunyongwa nimegundua
Roho inaniuma.
Chukulia mfano

Usiku wa manane mmevunjiwa nyumba halafu wakamkata kata kwa makusudi mama yako na mtoto wako ambao ni maalbino wakaondoka na viungo vyao na hao ndugu zako wakafa

Watu wa aina hii wanahitaji huruma kweli ?

Kama mtu ni katili hana huruma kwa watu iweje aonewe huruma??

Au chukulia mfano baba yako ametoka kuchukua pesa benki wakati anatoka majambazi wakampiga risasi na kuchujua pesa hivi hawa makatili unaanzaje kuwaonea huruma..
 
Back
Top Bottom