Mhe. Mbowe kutikisa Kyela

shaka ondoa kyela ya leo si ile ya akina mwakasumi , ccm hawatoki mkuu .
 
mkuu amba. nkya dunia nzima inakutegemea , usituache solemba .
 

Unadhani nani anayefaa zaidi kati ya watia nia ya ubunge waliojitokeza CHADEMA?
 
mkuu amba. nkya sehemu ndogo sana ya mjini kyela iliyobaki kukombolewa ni kijiji cha bondeni , hasa maeneo ya mkibhege club , kuna haja ya kuongeza nguvu maeneo ya mpanda hadi mahakama ya mwanzo mpaka kyerucu ( now kyecu ) ili tufagie kyela yote .

Hapo ndipo nyumbani kwa wazazi wangu!Hata sasa Mkibhege imebadilika na itaangukia UKAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…