nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Na sisi wanyiramba tunafurahi sana kwa mambo anayoyafanya Lissu kwa kutohamasisha maendeleo. Lissu uongoze miaka 100 ili tuwapige gape Wanyampaa
Kati ya Wanyaturu na Wanyiramba kuna vita Kali iliyojificha ni kama Wapalestine na Waisrael.......
Nategemea na naamini Jf ni jukwaa na uwanja wa facts na sio fillings, tuambizane ukwel na tujisahihishe, jimbon kwa Lissu hali mbaya sana kimaendeleo na kwake pia kwa uchaguz ujao.
Wanyiramba tunamuombea Lissu Maisha marefu awaongoze Wanyaturu kwa zaidi ya miaka 100 ili akina Kitundu, Makala, Mzengi, Shillah, Msengi, Kingu Siku Moja wawaongoze wanyaturu kwa kila sector kama ilivyo Kituo Cha Afya Sepuka Mkuu wa Kituo Myiramba, wauguzi Wote Wanyiramba, Lab technicians Ni Wanyiramba Lakini walinzi Ni wanyaturu
Serikali za mitaa Lissu kakomba mitaa yote ya CCM..
Bahati nzuri nimeishi Mwangeza Iramba jangwani maji km 20... Nyumba za walimu za tembe, sasa sijui wanyeramba wamewazidi vipi wabyaturu??
Tembea mpaka Kidarafa hadi kinampanda hawajui maji ni kero... Shule hazina madawati.
Hii imepelekea wana Mkalama na Iramba kuiamini Chadema kwenye serikali za mitaa... Maji maji maji Iramba ni tatizo.
Kwa kweli mtoto kama Lissu ni faraja kwa familia, ukoo na kijiji.
Ni mjinga tu pekee ndio anaweza kumbeza lisu,,tatzo kubwa la tz hatujui kazi ya mbunge,,na hii ni kutokana na watu kulithi siasa,kisa baba ccm basi mtoto nae eti unakuwa ccm,,kama jimbo halina maendeleo laumu serikali na sio mbunge coz mbunge ni msemaji tu,,lakini pia ukumbuke kwamba ubunge sio kazi ya kudumu so huwa mtu anapoleta vitisho kama hivi ni unachekesha
hamna mtu anaeweza kumtoa lissu jimbon hata aende membe...makongoro nasema noooooo
kwan misanga na wengine walifanya maendeleo gan kabla ya kuondoka???
hamna ukomboz mzur kama ukomboz wa kifikra........ukiondoa ujinga kichwan mbona mengine yataenda sawa!!!?
Wadau kama kuna mtu anafuatilia utendaji wake na anataka kupambana na Huyu Nguli atakua mbumbuu na asieitakia mema nchi yetu. Lissu anatimiza wajibu wake kwa hali ya juu sana. Kwa mtazamo wangu CCM au chama chochote kama kitathubutu kupeleka mgombea jimbo kwake Lissu basi atapimwa kili kama ziko sawa au lah....mana siasa ni kwa ajili ya watu na maendeleo yao na lissu ameweza.
Kwa mtazamo wangu hana mpinzani.jembe Lissu.
sisi...sisi wanyiramba,pumbavu mkubwa wewe,nakufuatilia sana koment zako humu,ni lini wanyiramba tumekutuma utusemee.jisemee wewe na upunguani wako,usitusemee wengineNa sisi wanyiramba tunafurahi sana kwa mambo anayoyafanya Lissu kwa kutohamasisha maendeleo. Lissu uongoze miaka 100 ili tuwapige gape Wanyampaa
Acha apiganie haki za wengi,
Kwanza jiulize, hao wabunge wengine wameleta mabadiliko gani sehemu wanazotoka kabla ya kumshambulia Lisu. Shida zote mnazopata ni kwa sababu ya serikali yenu dhaifu ya intarahamwe,
wapuuzi kama wewe hujificha kwenye ukabila,umeshindwa kusimamia hoja zako unajifanya kutusemea wanyiramba.ni vita ipi hiyo na upumbavu unaousema humu kiasi cha kufananisha na palestina na israel.kama wewe unawachukia wanyaturu ni nini wewe na wehu wako.nimezawaliwa na kukulia hapa sijawahi kuona hata dalili za vita hiyo,Kati ya Wanyaturu na Wanyiramba kuna vita Kali iliyojificha ni kama Wapalestine na Waisrael.......
Mkuu TzPride Umemaliza kila kitu!
Nawakilisha kutoka Mang'onyi hapa Lissu hana mpinzani 2015 period!
Nimekipenda hicho kibwagizo "Njaghamba iuhoma ilolo" wajifya sana wo khaya!
mkuu huo ndo ukweli. naomba angalau mwaka huu tungepata kina lissu wengine kama 100 hivi angalau wananchi tujitambue...
Unataka kuniambia jimboni kwake hajafanya lolote la maana??
Tundu lissu ataongoza chadema iramba kusimamia halmashauri. Kila kitu tayari
Shida yako unatukana sana hauna HOJA nami Sipendi kujibizana na mtu asiyeelewa nisije nikapoteza swaumu Yangu bure! Tushindane Kwa hoja na siyo matusiwapuuzi kama wewe hujificha kwenye ukabila,umeshindwa kusimamia hoja zako unajifanya kutusemea wanyiramba.ni vita ipi hiyo na upumbavu unaousema humu kiasi cha kufananisha na palestina na israel.kama wewe unawachukia wanyaturu ni nini wewe na wehu wako.nimezawaliwa na kukulia hapa sijawahi kuona hata dalili za vita hiyo,
Mods mmelala? Mnamuacha mtu anatukana nasi tutukane?sisi...sisi wanyiramba,pumbavu mkubwa wewe,nakufuatilia sana koment zako humu,ni lini wanyiramba tumekutuma utusemee.jisemee wewe na upunguani wako,usitusemee wengine