Mhe. Lissu, 2015 imefika


Wewe utakuwa ni GAMBA kama walivyo magamba wengine wengi wasiojitambua! Kama wewe ni mpiga kura wa Lisu hakika ungakuta unashangilia jinsi ambavyo mmeweza kutuletea Jembe lenye manufaa na maslahi mapana kwa Watanzania wote... Lisu anafaa kuwa Waziri Mkuu na hata Rais wa watu kwa watu wa Tanzania... CCM na mabeberu mtalia sana siku Lisu ataingia Ikulu ...
 
Nategemea na naamini Jf ni jukwaa na uwanja wa facts na sio fillings, tuambizane ukwel na tujisahihishe, jimbon kwa Lissu hali mbaya sana kimaendeleo na kwake pia kwa uchaguz ujao.

Hebu dadavua kidogo inamaana kuwa kabla ya Lisu hilo jimbo lilikuwa na maendeleo makubwa?Je ina maana Lisu ndie aliyekuja kuzorotesha maendeleo ya jimbo?kama jimbo lilikuwa linamaendeleo kabla ya Lisu kuwa mbunge ni kwa nini mlimuondoa mtangulizi wake mkamchagua Lisu?.
 
Siku za lissu kurudi kijiweni kwake zimewadia naamini 2015 hawezi kurudi kwa kura labda ateuliwe
 
Kwa mnaoona anaweza kugombea jimbo lolote jingne, jaribuni sumu hio. mbona akina mnyika na wengne wanazungumzia sana mambo ya kwnye majimbo yao na ya kitaifa wapo WHY NOT LISSU?
 

Hivi kwa akili zako unafikiri Tundu Lissu yupo duniani kwa ajili ya ubunge????. Ubunge ni sehem tu ya maisha ya Lissu na hata kama atakosa ubunge wa huko singida ana uwezo wa kugombea sehemu yoyote hapa nchini na akapata!!!!!
 
watu wa magamba bwana wa.j.i.nga kweli kweli vip kuhusu zitto kabwe na mambo ya kitaifa. au kwasababu zzk yupo upande wenu ?
 

uyu marehem wang'u rakanuka nayo, dawa ni kumchapa tu
 
watu wa magamba bwana wa.j.i.nga kweli kweli vip kuhusu zitto kabwe na mambo ya kitaifa. au kwasababu zzk yupo upande wenu ?
So Zito akitembea uchi mtaiga? km ye amebug asiwe lisu ila afanye kibunge si kama mwanaharakati.
 

Mwanachama wa CHADEMA hawezi kuwa na akili mgando kama zako.
Lissu anahitajika kila Mtanganyika na Mzanzibar kwa ustawi wa hizi nchi mbili.
Ndio maana tunasema the Guy is a National Figure.
Acha Upoyoyo
 
Lissu ni moto wa kuotea mbali maana kwa muda mfupi alio ingia bungeni CCM suruali na sketi zinawashuka kila kukicha. wanshona nguo kila kukicha maana makombola ya lissu yanfyatua viouno vyao. hebu angalia mpaka wengine wanasema watakimbilia msituni, wengine wamekimbilia kanisani kufanya uchochezi wa kidini, wengine wanataka muvunja serikali ya umoja wa kitaifa kisa Lissu kawabomoa kwa hoja nzito zenye mashiko ambazo hata ukiwaunganisha wabunge wa ccm 50 kwa miaka 50 iliyopita hawawezi kuzitoa
 
Nategemea na naamini Jf ni jukwaa na uwanja wa facts na sio fillings, tuambizane ukwel na tujisahihishe, jimbon kwa Lissu hali mbaya sana kimaendeleo na kwake pia kwa uchaguz ujao.

"fillings" au feelings tumia kiswahili tu mnyaturu na shule wapi na wapi
 
Acha Akili zako Mgando Lisu ni mbunge miaka 5 ccm miaka 45 zaidi nani anachelewesha
Maendeleo hapo? nenda zako huko Acha ujinga




 

Ndugu yangu jaribu kwenda jimbo la lisu ujichanganye na vijana na watu wazima uone na upime mzani lisu 2015 hana lwake labda muwandalie awe katibu mkuu wa cdm
 
Midubwana ya lumumba utaijua tu kwa uharo wao jamvini. Lisu yuko daraja lingine kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…