zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,292
- 29,142
Ni lini Lisu ameanza kuogopa kupambana na udhalimu??? Yaani risasi ndio zimtishe lisu??? Unafkiri kila mtu mchumia tumbo kma kina januaryKwa hali hii ninayoiona adabu itakuwepo kwa mamlaka, tofauti na mwanzo, mungu amfanyie wepesi apone haraka aje tujenge taifa
UMETOKA WAPI NA UNAENDA WAPI MKUU?Napita tu
UMETOKA WAPI NA UNAENDA WAPI MKUU?
Infection control wako wapi kwenye hiyo hospital?Leo mapema Mh.Naibu katibu mkuu bara na Mbunge wa KIBAMBA JJ Mnyika amewasili hospitalini mjini Nairobi na kumjulia hali shuja wetu TUNDU LISSU Mh.Mnyika aliambatana na viongozi wengineo waliofika mjini Nairobi Mh.Lissu amemshukuru mh.Mnyika kwa kwenda kumjulia hali
View attachment 668564
View attachment 668570
Itafahamika mkuu siku ikifika!Hehehehwhehe kamanda una maana gani
May be you don't know but we real know that your the one of the killer.Hongera sana japo umezidiwa hata na kina Mzee Mwinyi kwenda Nairobi bado Mdee
Role model wako kati ya LISSU na magufuli mikono na vidole juu
Umenikumbusha ile clip inayosema "ninakuhitaji kwa gharama yoyote".,mami bana!!!hawa ndo chadema asili na sio ulipo tupo.
sina uhakika kama hii ni sahihi sana tunawajenga vijana kudharau na kutukana viongozi tena binafsi na sio taasisi sasa sijui kama hii inapunguza hasira nafikiri tuwe makini mtaani kuzuriNadhani hata ******** ataenda sasa baada ya kuthibitisha Mungu hadhihakiwi
Kina makongoro mahanga?hawa ndo chadema asili na sio ulipo tupo.
Hayakuhusu, nyie kazi yenu kusifia na kubudu visivyo abudika.Hongera sana japo umezidiwa hata na kina Mzee Mwinyi kwenda Nairobi bado Mdee
Alikuwa wapi muda wote huo? Cdm wanajua walichomfanyia mwenzao, hivi mdee alishaenda? Naona zamu ya cdm masalia sasa, bado zittoHongera sana japo umezidiwa hata na kina Mzee Mwinyi kwenda Nairobi bado Mdee