Kuwa mzalendo acha malalamiko yasiyo ya msingi, hao wanyamwezi ndio wamemchagua....mbona unaleta tabia kama ya joka la mdimu!!! wewe sio mnyamwezi na sio mkazi wa TBR kinakuuma nini??? acha wivu fanya kazi yako.
Rage ni raia kama walivyowengine amezaliwa TBR kama wanyamwezi wengine na ana sifa ya kuwa muwakilishi, msomi ktk fani ya uhasibu zaidi ya hapo
ana CPA frm America
Hii hapa CV YA RAGE -wewe kambilombilo ni mbwiga pamoja na wanaymwezi wenzio cheki hapo kwenye red
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture
First Name: Ismail
Middle Name: Aden
Last Name: Rage
Member Type: Constituency Member
Constituent: Tabora Mjini
Political Party: CCM
Office Location: Box 84, Tabora
Office Phone: +255 784 261761/+255 655 000891
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
irage@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 3 January 1953
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Town Primary School Primary Education 1961 1964 PRIMARY
Mihayo Primary School Primary Education 1965 1965 PRIMARY
Urambo Extended Primary School Primary Education 1966 1967 PRIMARY
Uyui Secondary School O-Level Education 1968 1971 SECONDARY
C
ollege of Business Shinyanga Accountancy 1972 1973 CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Tabora Town Constituency 2010 2015
Private Sector Director 1986 2010
The Capital Development Authority (CDA), Dar Es Salaam Director 1977 1985
East African Airways Assistant Accountant 1974 1976
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi, CCM 2004 Todate
Iko wapi CPA toka AMERICA , IVI WANYAMWEZI KWA NINI WASHAMBA HIVO?