Mhariri HabariLeo ahamia Uhuru

Mhariri HabariLeo ahamia Uhuru

mpinga shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,234
Reaction score
959
Aliyekuwa Mhariri wa HabariLeo. Joseph Kulangwa amehamia gazeti la Chama Cha Mapinduzi, yaani Uhuru. Awali aliwahi kufanya kazi Majira wakati likiwa juu kwa umaarufu.
Kuchukuliwa kwa Kulangwa Uhuru pengine ni jitihada za CCM kujaribu kuliinua gazeti lake ambalo kwa sasa limedoda, kabla ya 2015.
Watafiti wa mambo wanadai kuwa kumbe kipindi chote ambacho HabariLeo limekuwa pro CCM ni jamaa alikuwa akipalilia mchicha wake na sasa anavuna
 
Uhuru na habari leo ni walewale, huyo jamaa ni kama vile katoka 'sitting room' kahamia 'dinning room', nyumba ileile.
 
dah bongo bana,mtu akihama chama kimoja kwenda kingine inakuwa breaking news,akihama kazi moja kwenda nyingine hivyo hivyo,akihama mtaa mmoja kwenda mwingine vivyo hivyo
 
Duuh wekeni picha ya huyo mwandishi.ikiwezekana kituo chake cha kazi apangiwe uganda ataacha tu huo ujinga wake
 
Back
Top Bottom