golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
kumbe na wewe ni muhandisi hewa, alipata advance diploma pale D.I.T,amefanya kazi for only four years pale (stamico) kisarawe mine na alikua mbovu sana ndio maana akakimbilia siasa pia ana post graduate ya makaratasi,umenisoma.
Ni wivu wa kike!Huyo Mama kila wakati Jina lake lazima atangulize Engineer manyanya kwenye jina lake,Je amefanya project au uvumbuzi gani mkubwa zaidi ya kusoma kwenye makaratasi, namshauri ajiite mwanasiasa, uhandisi wake ameufanyia kazi gani zaidi ya kukuriri, aibu tupu.
Mhandisi Nsiande ahsante kwa ufafanuzi uioutoa japo kwa ufupi lakini wenye mantiki.
Kuna baadhi ya watanzania wamekuwa na kasumba ya kudharau taaluma za wenzao, na bahati mbaya sana unakuta mtu wala hana taarifa sahihi na kamilifu juu ya elimu ama taaluma ya mtu lakini anakurupuka tu na kuja kumshambulia pasipo na facts.
Stella Manyanya ni mhandisi aliyebobea kwenye taaluma yake, amefanya kazi kwa muda wa kutosha, zaidi ya miaka 10 kwenye fani sio haba.
Hebu tuachane na hizi chuki na husda za kirejareja, kama una personal comflict mtafute mmalizani sio kuja kujaribu kumchafua Eng. Manyanya.
kumbe na wewe ni muhandisi hewa, alipata advance diploma pale D.I.T,amefanya kazi for only four years pale (stamico) kisarawe mine na alikua mbovu sana ndio maana akakimbilia siasa pia ana post graduate ya makaratasi,umenisoma.
Thanks Utingo,University of Dar Es Salaam (UDSM) Post Graduate 2005 To Date POSTGRADUATE
Trodheim Technical Collage (NTNU) Norway PGD (Electric Power Distribution System) 1995 1996 POSTGRADUATE
Dar Es Salaam Institute Technology (DIT) Advance Diploma (Electrical Eng.) 1987 1992 ADV DIPLOMA
Dar Es Salaam Institute Technology (DIT) Full Technician Course (FTC) 1980 1983 CERTIFICATE
Songea Girls Secondary School Secondary Education 1976 1979 SECONDARY
Maguu Primary School Primary Education 1969 1975 PRIMARY
nadhan nchi yetu unaijua vema...mtindo huu umeshamiri kwa sababu na mainjinia wameshamiri...70s hatukuwa na mainjinia wengi..Lakini mbona zamani kwenye miaka ya 70, 80, na hadi 90 huu mtindo haukuwepo. Kwa nini sasa hivi umeshamiri?
basi ndugu hujiamini, kama ni injinia unastahili kujiita hivyo na unapaswa uitwe hivyo na watu kila waitapo jina lako....injinia faita, dokta faita, prof faita nk...Uyo fundi mchundo sio kila aliesoma vitu vifafanavyo na uhandisi ni eng. wengine toka tumalize tupo kwenye field na licence za kupractice lakini atujiiti hivyo!
Na tupo professional registered!
University of Dar Es Salaam (UDSM) Post Graduate 2005 To Date POSTGRADUATE
Trodheim Technical Collage (NTNU) Norway PGD (Electric Power Distribution System) 1995 1996 POSTGRADUATE
Dar Es Salaam Institute Technology (DIT) Advance Diploma (Electrical Eng.) 1987 1992 ADV DIPLOMA
Dar Es Salaam Institute Technology (DIT) Full Technician Course (FTC) 1980 1983 CERTIFICATE
Songea Girls Secondary School Secondary Education 1976 1979 SECONDARY
Maguu Primary School Primary Education 1969 1975 PRIMARY
I have noted that, since you started this thread you think u are right, well you are not !
Eng Manyanya upgraded her credentials and gained that certification, she has been instrumental in capital engineering works e.g Survey electrification etc
She has worked in that capacity for over 10 years, I know her technical work and that's why am commenting in that line, her siasa career is not for me to discuss here
But the fact that u dispute this just bcoz u r inclined to ur own perveted(sp) ideas on who she really is I stand again to challenge you on it! She is an engineer and registered with ERB as 'proffesional'
Upo hapo ?
Sick scheming mind!
Mhandisi!!
Thanks Utingo,
so Manyanya bears one of those so called 'equivalents'!
No wonder why she exhibits all the elements of intellectual/conceptual emptiness.
My understanding engs. must undergo a four year (Tanzania) full time graduate training course. FTCs holders or finally being awarded a diploma (doesn't matter advanced one) one is simply a qualified 'fundi mchundo', period
ameajiriwa kwa muda wa kutosha; any any engineering system design?ound:
wakati anaingia kwenye siasa katokea TANESCO Mikocheni kama Mains Engineer!
Kama hiki ndicho kiwango chako cha uelewa wa mambo basi nchi hii imepata hasara kujitahidi kukupatia elimu lakini hukuweza kupambanua masuala!!Kama hujui kwamba ndani ya nchi hii ya Kambarage unaweza kupata degree ya uhandisi kwa muda wa chini ya miaka minne, rudi kwenye makabrasha, ama vipi kama mambo hayapandi mtembelee dr. ndodi akupe aktiveta!!!
Si ajabu hata hiyo elimu aliyonayo wewe hugusi hata kidogo lakini kwa sababu ya ama ufinyu wa uelewa ama dharau ama wivu unajifanya kumpondea.
Majibu yako hayako mbali, soma hapa;
Ni vizuri mkajifunza kuheshimu taaluma za wenzenu ili nanyi mheshimiwe, hii maneno mbofumbofu mnayoleta haa inaonyesha kwamba mnamchukia dada wa watu bure.