Mhadhiri Bashir Ally (UDSM) Atafutiwe Jimbo!

Ni mwl mzuri sana ktk ufundishaji kama ilivyo kwa dr bana ila kwenye mijadala hayuko objective sana.
Hayupo objective kwa vile sio mwalimu mzuri,ila ni mazao ya harakati za makundi ya akina Haroub othman na wengine pale udsm ktk kampeni zilizofichwa ktk ujamaa.
 

Mkuu

Dr Bashiru Ally yupo CCM miaka mingi. Hivi ninavyoandika ndiye Karibu Mkuu wa CCM Taifa akipokea mikoba ya Komredi Al Habsy Kinana
 
jamaa ni msomi mzuri ila napata sana wasiwasi na origin ya uraia wake naona kama kakaa kitusitusi hv asije akawa mnyarandwa huyu embu muangalieni vizuri sura yake halafu linganisha na sura za wale jirani zetu kule kama anashahabiana nao 100%
 
Nmamisi sana Prof Haroub Othman aisee huyu mzee Mungu amlaze mahala pema peponi alikuwa anatunyoosha sana kwenye DS 101 nakumbuka maisha yangu ya First year pale UDSM semester II huyu mzee baba alinitungia swali moja hatare sana yani ni kama nilishindwa kumwela maana nlienda off point alafu jamaa nlikuwa nimekaa nae ananichungulia tuu hapo nkawa naenda kuitafuta Supp bado jamaa wananicheki tuu mbaya Zaidi invigilator baada ya kuona ninatokwa na jasho akahisi natafuta mazingira ya kukitoa kibomu dah akaja akakaa pembeni yangu hapo ndio nkawa nasesereka sasa naikaribia disco mzee maana nlikuw tayari semester ya kwanza nina Supp 3.
 
Atafutiwe JIMBO au MKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa anaipeleka CCM kwenye udikteta kwa kuwaruhusu wapinzani wanaohamia CCM kugimbea viti vya ubunge bila kufuata mfumo uliowekwa na katiba ya CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivi Prof. Haroub Othuman alikuwepo pale UDSM hadi wakati semester system inaanza?
 
Calm down
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…