Mh. Waziri Mkuu Sema Kitu Mtwara Itulie

Mh. Waziri Mkuu Sema Kitu Mtwara Itulie

Izz

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
750
Reaction score
322
Wanasiasa wana kauli yao moja upenda kuitumia pale wanapo puuzia Mambo, usema "Ni upepo tu huo, utapita". Lakini kwa hili la Mtwara, chonde chonde wekeni siasa kando na tulitafutie ufumbuzi utakao nufaisha pande zote mbili yaani serikali (mwekezaji) na Wananchi wa Mtwara.

Tusiogope kutoa maamuzi magumu kwa kuona aibu ya kukubali hoja za upinzani na kuchekwa kua mmeshindwa. Waswahili wanasema 'funika kombe mwanaharamu apite'

Mtwara kijeografia iko pembezoni na ni hatari kwa nchi ikiwa vurugu hizi zikiendelea kuwepo, kwani hatujui adui yeti ni nani na wao wanaweza kutumia mwanya huu wa vurugu kuotesha mizizi yao na kuhatarisha AMANI.

Ni wakati sasa wa Mh. Waziri Mkuu Pinda kufanya maamuzi magumu ya kizalendo ili kumaliza mgogoro huu kwa njia ambazo hazitaacha makovu kwa wana-Mtwara.
 
Waziri mkuu huwa hana maamuzi! whether magumu ama mepesi!
Huwa sio mkweli! Na mara nyingi katika matukio ya aina hii mdomo hutangulia ubongo! Samahani sana, ila huo ndio ukweli!
 
Wanasiasa wana kauli yao moja upenda kuitumia pale wanapo puuzia Mambo, usema "Ni upepo tu huo, utapita". Lakini kwa hili la Mtwara, chonde chonde wekeni siasa kando na tulitafutie ufumbuzi utakao nufaisha pande zote mbili yaani serikali (mwekezaji) na Wananchi wa Mtwara.

Tusiogope kutoa maamuzi magumu kwa kuona aibu ya kukubali hoja za upinzani na kuchekwa kua mmeshindwa. Waswahili wanasema 'funika kombe mwanaharamu apite'

Mtwara kijeografia iko pembezoni na ni hatari kwa nchi ikiwa vurugu hizi zikiendelea kuwepo, kwani hatujui adui yeti ni nani na wao wanaweza kutumia mwanya huu wa vurugu kuotesha mizizi yao na kuhatarisha AMANI.

Ni wakati sasa wa Mh. Waziri Mkuu Pinda kufanya maamuzi magumu ya kizalendo ili kumaliza mgogoro huu kwa njia ambazo hazitaacha makovu kwa wana-Mtwara.



Pinda is a puppet for he knows and cares for nothing, hawezi kuja na kutoa kauli tofauti na mkuu wake. Yes, kuna kipindi anafanya hivyo ila si katika suala zito kama hili la Mtwara. Sana sana, yeye ataonekana analia kwenye TV baada ya watu kufa huko Mtwara, yaani kilio uchwara. Kosa lote hapa liko kwa kiongozi mtawala wa nchi because yeye ndiyo mzembe na hana sifa za utawala na faida yake ni hii, hasara. Suluhisho la Mtwara liko dhahiri ila JK pekee ndiye asiyeona hili, si upuuzi huu? Anatetea maslahi ya nani kama si yake na ukoo wake? Is there a point gesi ya Mtwara iende Dar Es Salaam? Mbona Mtwara kuna ardhi kubwa tu ya kujenga viwanda? Nawaunga mkono na mwili wangu wote wana MT.
 
Wanasiasa wana kauli yao moja upenda kuitumia pale wanapo puuzia Mambo, usema "Ni upepo tu huo, utapita". Lakini kwa hili la Mtwara, chonde chonde wekeni siasa kando na tulitafutie ufumbuzi utakao nufaisha pande zote mbili yaani serikali (mwekezaji) na Wananchi wa Mtwara.

Tusiogope kutoa maamuzi magumu kwa kuona aibu ya kukubali hoja za upinzani na kuchekwa kua mmeshindwa. Waswahili wanasema 'funika kombe mwanaharamu apite'

Mtwara kijeografia iko pembezoni na ni hatari kwa nchi ikiwa vurugu hizi zikiendelea kuwepo, kwani hatujui adui yeti ni nani na wao wanaweza kutumia mwanya huu wa vurugu kuotesha mizizi yao na kuhatarisha AMANI.

Ni wakati sasa wa Mh. Waziri Mkuu Pinda kufanya maamuzi magumu ya kizalendo ili kumaliza mgogoro huu kwa njia ambazo hazitaacha makovu kwa wana-Mtwara.

Atasema nini na juzi Waziri Muhongo alisema madai ya wana Mtwara ni sawa na kelele za chura, haziwakoseshi kunywa maji?
Sasa Mtwara inapiga kelele, dunia inasikia, wao waendelee kunywa maji kama hayakuwatokea puani...
Serikali sikivu... haisikii la mtu.
Peoples' power...
 
zaidi ya kumwaga chozi sidhani kama ana msaada wowote!!
 
Pinda ni mzigo kwa Taifa! yupo yupo ili ionekane cheo cha waziri mkuu kina mtu!!! Ataongeza mzigo kwa walipa kodi kuwahudumia na kuwatunza waziri wakuu wastaafu! So far tuna mzigo wa Kumtunza Lowassa...
 
Waziri Mkuu Pinda hawezi kuwa na ufumbuzi wa tatizo la Mtwara. He is TOO WEAK. A good leader is the one who can take tough and right decisions on time without hesistation. Tanzania inaonekana kwa sasa haina kiongozi wa namna hiyo.

Kuna wakti fulani RAIS KIWETE aliwahi kudai kuwa ana smiling face but very tough on issues!

Watanzania wanasubiri uamuzi mugumu, haraka na wenye busara kwa hili la MTWARA,lakii pia na haya ya UGAIDI NA UDINI .

Tunasubiri RAIS MSIKIVU,CCM SIKIVU NA SERIKALI SIKIVU WALETE UFUMBUZI KWA TATIZO HILI.
 
Wanasiasa wana kauli yao moja upenda kuitumia pale wanapo puuzia Mambo, usema "Ni upepo tu huo, utapita". Lakini kwa hili la Mtwara, chonde chonde wekeni siasa kando na tulitafutie ufumbuzi utakao nufaisha pande zote mbili yaani serikali (mwekezaji) na Wananchi wa Mtwara.

Tusiogope kutoa maamuzi magumu kwa kuona aibu ya kukubali hoja za upinzani na kuchekwa kua mmeshindwa. Waswahili wanasema 'funika kombe mwanaharamu apite'

Mtwara kijeografia iko pembezoni na ni hatari kwa nchi ikiwa vurugu hizi zikiendelea kuwepo, kwani hatujui adui yeti ni nani na wao wanaweza kutumia mwanya huu wa vurugu kuotesha mizizi yao na kuhatarisha AMANI.

Ni wakati sasa wa Mh. Waziri Mkuu Pinda kufanya maamuzi magumu ya kizalendo ili kumaliza mgogoro huu kwa njia ambazo hazitaacha makovu kwa wana-Mtwara.

Kwani raisi kafa?? Kama hawezi kazi ajiuzulu bwana nchi hii sio yake na familia yake!
 
huyu mfalme wa nyuki atazungumza nini, zaidi ya kulia tu kama toto dogo ...
 
Anafikiri kwanza Na kudhani...na kama ingekua amri yake!...angefanya jambo.
 
Tuliambiwa wamelimaliza zuala la ges sasa yanatoka wap nahisi kama taifa lilidanganywa
 
ingekuwa enzi za mzee wa richmond angetoa kauli ila huyu sijui
 
Mh. Rais ndio analitia tembo maji sasa TBC habari. Anasema watu wote waliohusika katika fujo leo wachukuliwe hatua...na watu wachache hawawezi kuachiwa wafanye fujo.

Rasilimali za Mtwara ni za watu wote na zitatumika na watu wote sio za Kwao tu.

Na walionyuma yao pia watachukuliwa hatua hata kama wana mapembe kiasi gani, watayakata!
 
Usimpe kazi huyo. Tumechoka kumuona akilialia.

Toka aingie madarakani ni sera ipi ameshawahi kuitoa na kutekeleza zaidi ya kudanganya kila siku?
 
Nimemsikia mtangazaji itv akisema rais katoa kauli kuwa atawashughulikia watu wote waliohusika akaweka kamsemo ka viongozi wa tz haitamvumilia yoyote yule.huku bandari ya bagamoyo hiyoo.mtwara na tanga hoi kamaliza mgogoro hapo.
 
Wanasiasa wana kauli yao moja upenda kuitumia pale wanapo puuzia Mambo, usema "Ni upepo tu huo, utapita". Lakini kwa hili la Mtwara, chonde chonde wekeni siasa kando na tulitafutie ufumbuzi utakao nufaisha pande zote mbili yaani serikali (mwekezaji) na Wananchi wa Mtwara.

Tusiogope kutoa maamuzi magumu kwa kuona aibu ya kukubali hoja za upinzani na kuchekwa kua mmeshindwa. Waswahili wanasema 'funika kombe mwanaharamu apite'

Mtwara kijeografia iko pembezoni na ni hatari kwa nchi ikiwa vurugu hizi zikiendelea kuwepo, kwani hatujui adui yeti ni nani na wao wanaweza kutumia mwanya huu wa vurugu kuotesha mizizi yao na kuhatarisha AMANI.

Ni wakati sasa wa Mh. Waziri Mkuu Pinda kufanya maamuzi magumu ya kizalendo ili kumaliza mgogoro huu kwa njia ambazo hazitaacha makovu kwa wana-Mtwara.

Wa nini?Aende kudanganya watu na kuwatisha wengine halafu arudi bungeni na kusema,kuwa "Anashukuru Mungu tattizo limeisha"?.
 
Back
Top Bottom