Wana JF naandika hili katika bipartisan views/Maoni yasiyoegemea chamachochote. Ili mtu asije akaanza kuniita majina.
Tundu Lissu ni kiongozi mashuhuri wa upinzani na hilo halipingiki. Ombi langu ni kuwa itakuwa vizuri sana kwa serikali ya CCM kumpa ulinzi kama Kiongozi mashuhuri aliyeepuka kuuawa na watu WASIOJULIKANA.
Mpaka sasa waliofanya jaribio hilo hawajapatikana. Na hivyo ili kuzuia mission yao mbaya ambayo inaweza KULIPAKA taifa letu MATOPE katika jamii ya kimataifa ni vizuri TL akirudi apatiwe ULINZI wa kutosha. Both wa kutembea nao na nyumbani kwake kwa gharama zetu za walipa KODI.
Katika nchi zilizo na demokrasia viongozi mashuhuri wa upinzani HUPEWA ULINZI ili kuzuia serikali ISILAUMIWE kwa lolote.
Maana wale waliokuwa wakitaka kumuua Tundu Lissu are still at large/Hawajapatikana.Ni vizuri serikali ichukuwe UJASIRI huu wa tahadhari.
Hii haionyeshi kuwa ni kumpatia umaarufu bali ni kulinda heshima na jina la nchi yetu kama KISIWA cha AMANI.
Akiombwa na AKATAE ulinzi wa vyombo vya dola, basi serikali itakuwa IMEOSHA mikono YAKE.
Maana TL ni Mtanzania mwenzetu.
Utofauti wa kivyama hauna maana kuwa TUCHUKIANE.
Niko radhi kukosolewa.
Mwaonaje wana jamvi?
Tundu Lissu ni kiongozi mashuhuri wa upinzani na hilo halipingiki. Ombi langu ni kuwa itakuwa vizuri sana kwa serikali ya CCM kumpa ulinzi kama Kiongozi mashuhuri aliyeepuka kuuawa na watu WASIOJULIKANA.
Mpaka sasa waliofanya jaribio hilo hawajapatikana. Na hivyo ili kuzuia mission yao mbaya ambayo inaweza KULIPAKA taifa letu MATOPE katika jamii ya kimataifa ni vizuri TL akirudi apatiwe ULINZI wa kutosha. Both wa kutembea nao na nyumbani kwake kwa gharama zetu za walipa KODI.
Katika nchi zilizo na demokrasia viongozi mashuhuri wa upinzani HUPEWA ULINZI ili kuzuia serikali ISILAUMIWE kwa lolote.
Maana wale waliokuwa wakitaka kumuua Tundu Lissu are still at large/Hawajapatikana.Ni vizuri serikali ichukuwe UJASIRI huu wa tahadhari.
Hii haionyeshi kuwa ni kumpatia umaarufu bali ni kulinda heshima na jina la nchi yetu kama KISIWA cha AMANI.
Akiombwa na AKATAE ulinzi wa vyombo vya dola, basi serikali itakuwa IMEOSHA mikono YAKE.
Maana TL ni Mtanzania mwenzetu.
Utofauti wa kivyama hauna maana kuwa TUCHUKIANE.
Niko radhi kukosolewa.
Mwaonaje wana jamvi?