Mkumbapanya
Member
- Jan 2, 2013
- 66
- 15
Habari ya Jioni wanajamvi,
Jimbo la Kalenga lina historia ya kipekee katika nchi yetu,ni jimbo ambalo haijawahi tokea mbunge akatawala vipindi viwili mfurulizo,pia ni jimbo ambalo halija wahi pata mmbunge Mwanamke,pia ni Jimbo ambalo kiuchumi lilikuwa juu kitaifa ,kutokana na kutoa mahindi,nyanya na kabichi hasa maeneo ya Magulilwa,Mgama,ng'eza, lyamgungwe,ihemi na sehemu nyingi jimboni pale,ingawa kwa sasa kiuchumi linashuka kwa kasi ya ajabu,nashukuru Chadema wametambua hili mapema nashukuru naambiwa wameweka kambi kwenye kila kata,namshukuru mgombea kuwa ni mhehe halisi anajua mila za kihehe na anajua wahehe wanataka nini!!lakini kwa wahasimu wao yaani Ccm wao wameweka kambi pale Ihemiingawa mgombea haieleweki anaishi wapi! wengine wanasema amefikia Iringa mjini na anaishi hoteli,!
wanajamvi Je yupi ni bora?? na tumsaidiaje ? ili aweze kurudisha Heshima ya Jimbo la Kalenga??
i humbly submit
Jimbo la Kalenga lina historia ya kipekee katika nchi yetu,ni jimbo ambalo haijawahi tokea mbunge akatawala vipindi viwili mfurulizo,pia ni jimbo ambalo halija wahi pata mmbunge Mwanamke,pia ni Jimbo ambalo kiuchumi lilikuwa juu kitaifa ,kutokana na kutoa mahindi,nyanya na kabichi hasa maeneo ya Magulilwa,Mgama,ng'eza, lyamgungwe,ihemi na sehemu nyingi jimboni pale,ingawa kwa sasa kiuchumi linashuka kwa kasi ya ajabu,nashukuru Chadema wametambua hili mapema nashukuru naambiwa wameweka kambi kwenye kila kata,namshukuru mgombea kuwa ni mhehe halisi anajua mila za kihehe na anajua wahehe wanataka nini!!lakini kwa wahasimu wao yaani Ccm wao wameweka kambi pale Ihemiingawa mgombea haieleweki anaishi wapi! wengine wanasema amefikia Iringa mjini na anaishi hoteli,!
wanajamvi Je yupi ni bora?? na tumsaidiaje ? ili aweze kurudisha Heshima ya Jimbo la Kalenga??
i humbly submit