Mh. SITTA, watanzania wanasamehe, omba msamaha utasamehewa

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,266
4,716
Nimekuwa nikifuatilia kauli mbalimbali za Mh. Sitta juu ya hali ya sasa ya mkataba wa DWNS na numegundua kuwa huyu mheshimiwa anaona kuwa kuvunjwa kwa mkataba huu na bunge alilokuwa analisimamia yeye na mkataba huu kuwa na madhara ya kifedha kwa upande wa Tanesco/serikali ni fedheha kwake. Hata hivyo; kwa kuwa yeye ni militant ameamua kuomba huruma ya wananchi ili kuficha aibu yake.


Kwanini anaona aibu: yeye ni mwanasheria mkongwe, yeye alikuwa kiongozi mkuu wa bunge, yeye amewahi kusimamia TIC: kwa kuwa ktk ngazi hizi alipashwa kuwa na uelewa wa juu kabisa juu ya manufaa ama madhara yatakayotokana na kuvunjika kwa mkataba, au la , kwa maslahi ya taifa angepaswa kuwa na mapendekezo ya kuondoa kadhia hii ya deni la dowans linalozidi kukua. Kwa kuwa hili halijawezekana- ni muda muafaka sasa kwa yeye kuwaomba radhi watanzania kuwa alishindwa kutumua mamlaka yake vizuri hata kuingiza serikali katika deni hili. Nawasilisha.
 
Nimekuwa nikifuatilia kauli mbalimbali za Mh. Sitta juu ya hali ya sasa ya mkataba wa DWNS na numegundua kuwa huyu mheshimiwa anaona kuwa kuvunjwa kwa mkataba huu na bunge alilokuwa analisimamia yeye na mkataba huu kuwa na madhara ya kifedha kwa upande wa Tanesco/serikali ni fedheha kwake. Hata hivyo; kwa kuwa yeye ni militant ameamua kuomba huruma ya wananchi ili kuficha aibu yake.


Kwanini anaona aibu: yeye ni mwanasheria mkongwe, yeye alikuwa kiongozi mkuu wa bunge, yeye amewahi kusimamia TIC: kwa kuwa ktk ngazi hizi alipashwa kuwa na uelewa wa juu kabisa juu ya manufaa ama madhara yatakayotokana na kuvunjika kwa mkataba, au la , kwa maslahi ya taifa angepaswa kuwa na mapendekezo ya kuondoa kadhia hii ya deni la dowans linalozidi kukua. Kwa kuwa hili halijawezekana- ni muda muafaka sasa kwa yeye kuwaomba radhi watanzania kuwa alishindwa kutumua mamlaka yake vizuri hata kuingiza serikali katika deni hili. Nawasilisha.
Na akishaomba radhi mkondo wa sheria ufuate kwake na kwa wale wote waliotufikisha hapa tulipofikishwa
 
Ndo maana yake na ikiwezekana alipe gharama.
Na akishaomba radhi mkondo wa sheria ufuate kwake na kwa wale wote waliotufikisha hapa tulipofikishwa
 
Back
Top Bottom