Mh. Ridhiwani nguvu kubwa ya kujieleza kwenye media inatuacha na maswali mengi

bigmind

JF-Expert Member
Oct 28, 2015
12,457
12,688
Leo asubuhi nimemsikia Mh. Ridhiwani akitoa maelezo yenye kona nyingi mno(meanders) kiasi cha kwamba sikuweza kumwelewa kiukweli.

Kwanza amelaum umma(watanzania) kuwa tuna tunga au kuanzisha hisia na tunaziamini pia akilenga kukanusha tuhuma mbalimbali zinazotolewa juu yake hasa umiliki mali nyingi kupindukia na kuhusishwa na sakata la madawa ya kulevya.

Utetezi wake nimeusikia Clouds FM na East Africa redio pia akionekana kusifia kampeni ya kupambana na madawa huku akiponda njia ya kutangaza majina hadharani ya Mh. MAKONDA akionekana kuungana na tume ya kupambana na dawa za kulevya iliyopewa viongozi wake wateule hivi karibuni.

Utetezi wa mh. Ridhiwani ni wakitoto sana hatoi wala kukanusha nini ni ukweli au kipi ni uongo zaidi ya kusena watu wanachuki na yeye anamiliki mali ambazo hajazitaja wala kukanusha zile ambazo anatuhumiwa na umiliki zikiwemo kampuni ya GSM.

My take mh. Ridhiwani zama hizi za ukweli na uwazi itakuwa vigumu kuficha kila kitu bora funguka tukuelewe otherwise uendelee kujificha kwenye koti la mzee JAKAYA KIKWETE MZEE WAKO. Ila ukweli una tabia moja siku zote kujitenga na uongo.
 
Leo asubuhi nimemsikia mh. Liz one akitoa maelezo yenye kona nyingi mno(meanders) kias cha kwamba sikuweza kumwelewa kiukweli.

Kwanza amelaum umma(watanzania) kuwa tuna tunga au kuanzisha hisia na tunaziamini pia akilenga kukanusha kukanusha tuhuma mbalimbali zinazotolewa juu yake hasa umiliki mali nyingi kupindukia na kuhusishwa na sakata la madawa ya kulevya.

Utetezi wake nimeusikia clouds fm na East Africa redio pia akionekana kusifia kampeni ya kupambana na madawa huku akiponda njia ya kutangaza majina hadharani ya mh. MAKONDA akionekana kuungana na tume ya kupambana na dawa za kulevya iliyopewa viongozi wake wateule hivi karibuni.

Utetezi wa mh. Liz one ni wakitoto sana hatoi wala kukanusha nini ni ukweli au kipi ni uongo zaidi ya kusena watu wanachuki na yeye anamiliki mali ambazo hajazitaja wala kukanusha zile ambazo anatuhumiwa na umiliki zikiwemo kampuni ya GSM.

My take mh. Liz one zama hizi za ukweli na uwazi itakuwa vigumu kuficha kila kitu bora funguka tukuelewe otherwise uendelee kujificha kwenye koti la mzee JAKAY CHIKWETE MZEYE WAKO. Ila ukweli una tabia moja siku zote kujitenga na uongo.

Wenzio wanatuwekea clips - audio au video kama ya Mhe. Dr. Mwakyembe, ya kwako hiko wapi?
 
Kweli ulitegemea aje aseme anahusika na ng'anda, anahusika na GSM kirahisi rahisi tu.....Hata mahakami ukiwa na kesi siku ya kwanza hata kama ni kweli haipaswi kukubali lazima ukane kwanza...
 
Huyu jamaa ni saw a na Lowassa tu...watu wanasema ni fisadi lakini hawana ushahidi hata tone.
.....anyway-time will tell.
 
Eeee, wewe kma umeona hajasema ukweli tupe ushahidi wa kuonesha kuwa anahusika ndo tutaamini kuwa anakanusha uongo....
Maelezo ya kitoto na nguvu kubwa ya kufuata media huku akijua hana utetezi na hoja za kutosheleza! Anatuhumiwa kumiliki kampuni ya GSM abakia kuzunguka huku na kule zama hizi nyeusi ni nyeusi kuwa nyeupe siyo rais.
 
kweli mkuu...walipomtaja mwenyekiti wao walipanic balaa...ila kwa vile ni riz1..barida
Ndugu mimi ssm damu kijana tena kada kindakindaki sasa hivi siyo muda tutabaki ssm asilia na machotara..!
 
Chadema bhana kwa kulazimisha mambo.
huyo mzee kwenye avatar yako mbona alikuwa anauwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo!
Sasa mbona unamdhalilisha hivyo!
Ina maana kila anayeandika kuhusu liz ni chadema?
 
Back
Top Bottom