Mh. Rais tuongezee mishahara watumishi

Mh. Rais tuongezee mishahara watumishi

jonas255

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
225
Reaction score
112
Mh. Rais Magufuli atuongezee mishahara watumishi. Mwaka wa fedha 2016/2017 umeshaanza lakini watu atujaongezewa ata tshs. 10...Watumishi tulimpigia kura kwa wingi kwasababu tulijua ni mchapa kazi lakini atujaonja matunda ya kumpa kura mh. Rais wetu.
 
MH. RAISI MAGUFULI ATUONGEZEE WATUMISHI MISHAHARA.... MWAKA WA FEDHA 2016/2017 UMESHAANZA LAKINI WATU ATUJAONGEZEWA ATA TSHS. 10...... WATUMISHI TULIMPIGIA KURA KWA WINGI KWA SABABU TULIJUA NI MCHAPA KAZI LAKINI ATUJAONJA MATUNDA YA KUMPA KURA MH. RAIS WETU
Tulieni dawa iwaingie, malaika lazima aishi kama shetani safarihi hii
 
we vip huwa hausikiliz matamko ya rais punguza jazba ...had uhakik uishe
 
Mkuu naomba usiniharibie siku....unaponikumbusha machungu ya na dharau za Mafisi....naumia sana..

wanatuhadaa na uhakiki...hakuna la maana wanalofanya....ni vitisho, matamko tuuuu hakuna utekelezaji.....

Awamu hovyo kabisa hii
 
MH. RAISI MAGUFULI ATUONGEZEE WATUMISHI MISHAHARA.... MWAKA WA FEDHA 2016/2017 UMESHAANZA LAKINI WATU ATUJAONGEZEWA ATA TSHS. 10...... WATUMISHI TULIMPIGIA KURA KWA WINGI KWA SABABU TULIJUA NI MCHAPA KAZI LAKINI ATUJAONJA MATUNDA YA KUMPA KURA MH. RAIS WETU
Kwa namna ya uandishi wako huu inaonekana huna tija katika nafasi yoyote serikalini hivyo huna haki ya kudai wala kupewa nyongeza. Kwa heri.
 
we vip huwa hausikiliz matamko ya rais punguza jazba ...had uhakik uishe
Miezi minane sasa....huo uhakiki unafanyikaje hadi haushi.....mpaka Leo kama mmeshindwa kumaliza swala la watumishi hewa, wenye vyeti feki....tupeni chetu bhana....
 
Malaika mkuu ameisha sema mshahara ni huo huo kama hamtaki acheni kazi.Kwanza nyie ndio mafisadi wakubwa sana
 
Na bado hii ni trailer bado movie yenyew tangu mwaka jana hili zoez lilianza mpaka leo.
Mm nilidhani wa kijani wataongezea lkn kumbe wote tunaisoma namba
 
Tatizo lenu watumishi mnaharaka sana kuliko hata upesii yenyewe mlishaambiwa kuna mambo bado yanawekwa sawa na watu wako kwenye maandalizi ya kufungasha mafaili kuyapeleka Dodoma sasa wao watafanya mambo mangapi kwa wakati mmoja bado la vyeti feki na tena kuna fununu watumishi wengine wanavyeti vya ndoa na watoto kumbe ni mabachela tu hawana hata watoto nasikia wakimaliza vyeti feki vya masomo watalipitia na hili la kufoji ndoa.Nyie subirieni tu mambo yatakaa sawa punde tu.
 
Dah hali imeshakuwa mbaya asee siku izi naenda kazin uku nimebeba ugali kwenye hotpot cna pesa ya kununua chakula cha mchana
 
Tatizo lenu watumishi mnaharaka sana kuliko hata upesii yenyewe mlishaambiwa kuna mambo bado yanawekwa sawa na watu wako kwenye maandalizi ya kufungasha mafaili kuyapeleka Dodoma sasa wao watafanya mambo mangapi kwa wakati mmoja bado la vyeti feki na tena kuna fununu watumishi wengine wanavyeti vya ndoa na watoto kumbe ni mabachela tu hawana hata watoto nasikia wakimaliza vyeti feki vya masomo watalipitia na hili la kufoji ndoa.Nyie subirieni tu mambo yatakaa sawa punde tu.
kuna la wanafunzi hewa nalo linakuja!
 
Back
Top Bottom