Mh. Rais ogopa sana ukiona watu wamekaa kimya

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,766
12,689
Tangu ameanza hivi vitimbi na kumnadi mwanawe Bashite kuna watu muhimu sana kwa hili Taifa wapo kimya nao sio wengine ni wazee wa Taifa hili.

Sio Mkapa sio nani wote wamekaa kimya. Tena JK kukupoteza zaidi alikuwa wa kwanza kusisimama uongoze 2020 bila kupingwa. Jiulize nini kinafuata na kwanini wamekuwa kimya. Hahahahahhah nasikitika sana Mh Rais nadhani kweli huwoni kilichopo mbele na unacho fanya nikama kile alifanya mfalme Herode kuwamaliza vijana wote wakiume akidhani Yesu atammaliza kumbe laa Yesu bado alikuwa mafichoni na lazima ilikuwa atimize ukombozi kwa wanadamu.

Najuwa hofu imetanda umeanza kuwachinja watu kama Nnape japo hujui wapi Nnape alipo yule unamuona sio Nnape ila saa ya ukomboz ikifika ndipo utajua Mungu alimuhifadhi kwa wakati mubashara.

Hili ni taifa letu mali yetu toka kwa mababu zetu huwezi kututenga huwezi kutumiliki kama kuku bandani we are free free free nation
 
Walibugi mwaka 2005 amabye alitakiwa kuwepo madarakani kipindi kile alikua ni SALIM AHMED SALIMU kwahiyo mistake waliocheza kipindi kile ndo hii sasa kwani angepita salim basi kikwete ndo sasa angekua president but yashatokea, mzee SALIM kakaa kimya ile mbaya na haongei kitu mtu mwingine ni warioba walichomfanyia kipindi cha utafutaji wa katiba mpya alijitahidi kufanya vile alivoona inafaa, nini kilimkuta ni balaa
 
Mmekaa kimya kawatuliza?? Wapi ukuta, wapi kata funua..mkiachiwa nyie msiotumia akili zenu mbona mtadanganyika sana na wanasiasa uchwara.
 
Tangu ameanza hivi vitimbi nakumnadi mwanawe Bashite kuna watu muhim sana kwa hili Taifa wapo kimya nao sio wengine niwazee wa Taifa hili.
Sio mkapa sio nani wote wamekaa kimya. Tena JK kukupoteza zaid alikuwa wakwanza kusisimama uongoze 2020 bila kupingwa. Jiulize nini kinafuwata na kwanini wamekuwa kimya. Hahahahahhah nasikitika sana mh Rais nadhani kweli huwoni kilichopo mbele na unacho fanya nikama Kile alifanya mfalme Herode kuwamaliza vijana wote wakiume akidhani Yesu atammaliza kumbe laa Yesu bado alikuwa mafichoni na lazima ilikuwa atimize ukombozi kwa wanadam.
Najuwa hofu imetanda umeanza kuwachinja watu kama Nnape japo hujuwi wapi Nnape alipo yule unamuona sio Nnape ila saa ya ukomboz ikifika ndipo utajuwa Mungu alimuhifadhi kwa wakati mubashara.
Hili ni taifa letu mali yetu toka kwa mababu zetu huwezi kututenga huwezi kutumiliki kama kukubandani we are free free free nation
Acha mbwembwe waache watu wapige kazi
 
Hakuna wa Kumuogopa John. Kwny Chama hata Kambarage alikuwa anapewa Makavu live

Hayati Bibi Titi Mohamed alimwambia Nyerere live Kwny NEC 1968 kuwa hatukuogopi kwani wa kuogopwa ni Mungu Pekee akapewa kesi ya Uhaini akafungwa Maisha kwa Uhaini 1969-1972 akaachiwa lakin Leo 2017 wote wapo chini ya Ardhi!

Mzee Kinana huenda akaongea Leo!
 
watanzania tuna mawazo na fikra za vijiweni sana... we umeshasema wazee wako kimya how comes unajua wanachokiwaza! kikwete kapitia crissis ngapi, ni lini uliwasikia unaowaita wazee wa chama wameshupalia hayo mambo? subiri 2020 uone watakavogawana mikoa kwenda kumpigia kampeni.. punguza kurukaruka ka kibinti kilichopevuka kinapoona vijana wa kiume
 
Mmekaa kimya kawatuliza?? Wapi ukuta, wapi kata funua..mkiachiwa nyie msiotumia akili zenu mbona mtadanganyika sana na wanasiasa uchwara.
  1. Nani hao akina Prof. Baregu, Mzee Mtei, Mabere Marando, Mbowe, Lisu, Zitto, Mdee, Mbatia, Lwakatare, Lowasa, Sumaye, Kingunge, Lema, Msemakweli na wengine wengiii. Kati ya hawa nani alishaamka bungeni akaongea na magazeti kesho yake yakaandika kituko alichoongea? Msemakweli alipoambiwa ashtakiwe kwa kutoa data za vihiyo waliofoji digrii, nani alimshtaki na kama walienda kesi zipo wapi Hakuna kiongozi wa upinzani anayeongea bila data wala kujiamini na wala hawawezi ongea pumba kama tunazosikia kila siku hat za watu kubadili majina ya Askali mounument kuitwa Diamond??? Kweli?? Mnara wa babu zetu waliopoteza masisha kupigania nchi hii uitwe mnenguaji?CCM oyeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom