Mh Rage ndani ya Tabora

 


Hivi unaijua Tabora mkuu au unaongea tu kwakuwa umepewa posho Lumumba? Kuna Mbunge Alikuwa anaitwa Prof Henry Mgombelo ambaye alikuwa mbunge mwaka 2000 mpaka 2005 yeye mpaka alilia Bungeni kutetea maslahi ya mkoa baada ya wajanja wachache kujichotea fedha za MMEM mkoa wa Tabora na baadae hao hao watu wakamuua Diwani wa Kata ya Kanyeye. Lakini na Kulia kwake mwaka 2005 alidondokea pua kwenye uchaguzi wa ndani wa ccm akashinda Marehemu Siraju Kaboyonga. Yaani kama anakutuma uje umpigie vuvuzela humu we mwambie tu imeshindikana. Tabora tunamuhesabia mwaka mmoja na miezi mi5 anawapisha wengine.
 
huyu Mzee amefanya nikonde kwa jinsi alivyoiboronga Simba na nikakosa amani mtaani mpaka sasa narudi usiku nyumbani
 
Kweli mkuu ugawaji wa pesa hapa lazima uhojiwe!
 

Mkuu Guest

Big changes for Tabora are coming in 2013 whether you like or not, because this is not an optional...is inevetable!!!.......and what's your problem exactly? Mbona bado una fikra za mwaka 1980!!??......Vita? Kivipi?
 
Rage hasa makazi yake ni wapi?Huyu kilaza Kabla ya kuwa mbunge alikuwa anashinda sana pale kwenye club ya saigon wanachama wengi wa simba wanajua makazi yake ni ilala.

Anakaa city centre directly opposite na Wizara ya nishati na madini.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
YAN NAMCHUKIA RAGE SANA KWA KUTUFANYA WANA SIMBA KAMA WATOTO WADOGO,ametuharibia timu yetu hadi tunamkumbuka mzee Dalali,twite,yondan,okwi wote wameondoka kwa sabb yake...Lakin kuhusu Tabora yan naifananishaga na jimbo la Moro mjini yan miaka yote ni majimbo ya majaribio kwa wale wanaojifunza siasa...kazi kwao.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…