Jana kupitia radio yake iitwayo Voice of Tabora mheshimiwa Ismail Aden Rage, mbunge wa Tabora mjini, alikuwa 'live' akiwahutubia wapiga kura wake mjini hapo. Nilimsikia akitoa pikipiki na pesa. Kilichonishangaza ni muda wa mkutano kuendelea mpaka saa moja kasorobo jioni na kumsikia mmoja kati ya wazungumzaji akilalamikia uhaba wa ulinzi (polisi) katika mkutano huo. Wana JF hebu tujadili mambo haya mawili:-
1. Nijuavyo mikutano yote mwisho saa kumi na mbili jioni, au ni ile ya uchaguzi pekee?
2. Kwa nini pawe na ulinzi hafifu wakati mikutano ya vyama mbadala ulinzi huwa mkubwa zaidi?
Jana kupitia radio yake iitwayo Voice of Tabora mheshimiwa Ismail Aden Rage, mbunge wa Tabora mjini, alikuwa 'live' akiwahutubia wapiga kura wake mjini hapo. Nilimsikia akitoa pikipiki na pesa. Kilichonishangaza ni muda wa mkutano kuendelea mpaka saa moja kasorobo jioni na kumsikia mmoja kati ya wazungumzaji akilalamikia uhaba wa ulinzi (polisi) katika mkutano huo. Wana JF hebu tujadili mambo haya mawili:-
1. Nijuavyo mikutano yote mwisho saa kumi na mbili jioni, au ni ile ya uchaguzi pekee?
2. Kwa nini pawe na ulinzi hafifu wakati mikutano ya vyama mbadala ulinzi huwa mkubwa zaidi?
Atakaso kote, Simba na Tabora. Take my word.
Jana kupitia radio yake iitwayo Voice of Tabora mheshimiwa Ismail Aden Rage, mbunge wa Tabora mjini, alikuwa 'live' akiwahutubia wapiga kura wake mjini hapo. Nilimsikia akitoa pikipiki na pesa. Kilichonishangaza ni muda wa mkutano kuendelea mpaka saa moja kasorobo jioni na kumsikia mmoja kati ya wazungumzaji akilalamikia uhaba wa ulinzi (polisi) katika mkutano huo. Wana JF hebu tujadili mambo haya mawili:-
1. Nijuavyo mikutano yote mwisho saa kumi na mbili jioni, au ni ile ya uchaguzi pekee?
2. Kwa nini pawe na ulinzi hafifu wakati mikutano ya vyama mbadala ulinzi huwa mkubwa zaidi?
Jana kupitia radio yake
iitwayo Voice of Tabora mheshimiwa Ismail Aden Rage, mbunge wa Tabora
mjini, alikuwa 'live' akiwahutubia wapiga kura wake mjini hapo.
Nilimsikia akitoa pikipiki na pesa. Kilichonishangaza ni muda wa mkutano
kuendelea mpaka saa moja kasorobo jioni na kumsikia mmoja kati ya
wazungumzaji akilalamikia uhaba wa ulinzi (polisi) katika mkutano huo.
Wana JF hebu tujadili mambo haya mawili:-
1. Nijuavyo mikutano yote mwisho saa kumi na mbili jioni, au ni ile ya
uchaguzi pekee?
2. Kwa nini pawe na ulinzi hafifu wakati mikutano ya vyama mbadala
ulinzi huwa mkubwa zaidi?
Hapo kwenye red unaweza kufunguka zaidi mkuu?Hakuna mtu wa kumngoa rage tabora. Nadhani wanasiasa wa conservative union wanahitaji kutathmini madhara ya siasa za uongo na kupakaza chuki kama kweli ni mtaji wa kisiasa au ticketi ya kuondokea kwenye ulingo wa siasa. Tusubiri majibu ya serikali baada ya vigogo wa hiki chama kutajwa na wafanya vurugu mtwara kuwa walikuwa wanawapa maelekezo. Kuna haja ya kutoa mafunzo maalum kwa watu wenye elimu za kati na muda mfupi ambao hawakusoma vizuri na wanatamaa ya kuongoza nchi hii watatuingiza vitani pasipo sababu.
Arudi akagombee somalia, mwizi huyu aliwahi kufungwa kwa kuiba pesa ya FAT simba tukamchagua kuwawenyekiti, ccm nao wakampitisha mgombea tabora wakamchagua mbunge, aibu kubwa hizi!!!
hana ishu tabora wanamlia kama haamini asubiri next election, pili huyu jamaa ni mfanyabiashara he is not a leader, tatu ukitaka kujua ni mjanja2 muulize hizo piki2 alizotoa zitawasaidia nn wanamboka, atawanunulia wese? mwisho lengo la kugawa pesa ni nn?