BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
TPA wameanza kutekeleza amri ya Mh.Mwakyembe aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kuwapa watendaji PTA mpaka tarehe 1 wawe wameanza utaratibu mpya vinginevyo wapeleke barua za kujiuzulu!kuwa mteja akilipa bank asirudi kwenye foleni tena ofisi za TPA,badala yake aende kwenye Delivery kuchukua mzigo.SASA ukilipa CRDB unaenda kuchukua cargo.Bila udikteta vitu haviendi tanzania natumai rais ajaye awe dikteta wa maendeleo!