Si hata mimi ndio nashangaa sasa!!who is this dude.muwe mnaweka information kamili mtanda ndio nani
Si hata mimi ndio nashangaa sasa!!
Nadhani huyu jamaa ni mbunge, cjui wa huko kilwa sema mleta habari anafikiri kila mtu anamjua
Pole sana mkuu.
Cc :The boss miss neddy miss chagga charming lady King'asti Mtambuzi Watu 8 Heaven on Earth miss strong Mentor Bulldog Mr Rocky @ Kongosho
and why did you call me in here?:wacko:
who is this dude.muwe mnaweka information kamili mtanda ndio nani
labda unamjua zaidi
![]()
Said Mtanda, Mbunge wa Jimbo Mchinga kupitia CCM