Mh. Mdee , zimwi litujualo halituli..........

Well said . Yes, maisha yake binafsi wakati mwingine yanaweza kuathiri utendaji wake , ww unafikiri anakwenda kumbi za starehe mpaka saa 10 usiku unategemea kesho yake atakuwa yuko active kuwatumikia wananchi kweli ?.



kwa kuwa umerudia kauli hii mara mbili nahisi una ajenda binafsi na Halima Mdee na sio suala la barabara. Kila raia na haki ya msingi ya kwenda atakapo sasa wewe inakuuma nini? au unamtaka? Tumia njia za kawaida badala ya character assassination.
 
Tulia kijana mbunge wako yuko bize na posho na macheni makubwa ya dhahabu shingoni....we swaga na vumbi tu; atarudi tena 2014 mwishoooni atawawekea kifusi kwa makubaliano kuwa mkimchagua tena ndani ya miezi mitatu mingine atapiga lami ya kiwango cha juu sana.
 
kwa kuwa umerudia kauli hii mara mbili nahisi una ajenda binafsi na Halima Mdee na sio suala la barabara. Kila raia na haki ya msingi ya kwenda atakapo sasa wewe inakuuma nini? au unamtaka? Tumia njia za kawaida badala ya character assassination.

Mie sina la zaidi ya barabara kwa Mdee. Mie viburudisho nilivyo navyo vinanitosha na vitu vya maana kuliko Mdee

 
kwa kuwa umerudia kauli hii mara mbili nahisi una ajenda binafsi na Halima Mdee na sio suala la barabara. Kila raia na haki ya msingi ya kwenda atakapo sasa wewe inakuuma nini? au unamtaka? Tumia njia za kawaida badala ya character assassination.

Mhe Watanabe; hayo maneno yenye rangi nyekundu ni makali sana mi nadhani GB hastahil hayo na nadhani anaweza akayarudia tu kwa sababu ya yale aliyo nayo rohoni ila kwa majibu haya hatutakuwa tukisaidiana ila utamwongezea jazba na akirudi humu tena atarudi na makubwa zaidi mi nadhani tumpe muda na hasira itakwisha na atajumuika na wenzie kuhakikisha yale yampasayo Mbunge yanafanyika kwa namna moja ama nyingine........

GBkwa mara nyingine tena bado nasisitiza hoja iwe ile ile juu ya utekelezaji wa ahadi za Mbunge haya ya Kurudi saa 10 au kukesha ni mengine ambayo yanaweza kutufanya au kukufanya uonekane hauko serious na hoja ya msingi manake kule Club 84 ndo ungesema yote.........

Remain blessed GB for being very concerned and considerate.......
 
Mie sina la zaidi ya barabara kwa Mdee. Mie viburudisho nilivyo navyo vinanitosha na vitu vya maana kuliko Mdee


Nimeshakuelimisa kuwa sio kazi ya mbunge kujenga barabara na kwa elim zaidi soma post yangu hapo juu ujue majukumu ya mbunge.
 
Hua anapita kufanya mikutano huko jimboni kwake, vipi ulishamuuliza?
 
Nimeshakuelimisa kuwa sio kazi ya mbunge kujenga barabara na kwa elim zaidi soma post yangu hapo juu ujue majukumu ya mbunge.

Kama sio jukumu lake kwa nn kwenye kampeni anasema 'nitajenga barabara' badala yakusema ' serikali watajenga barabara'. Dhana hapa 'nitajenga' ina maana nafsi ya mimi , ambayo ni ya mzungumzaji.

 
Hua anapita kufanya mikutano huko jimboni kwake, vipi ulishamuuliza?

Yuko busy na maandamano unafikiri ana muda hata na mikutano ya jimboni kwake ? tuhesabu tumeisha tapeliwa na huyu dada

 
Kama sio jukumu lake kwa nn kwenye kampeni anasema 'nitajenga barabara' badala yakusema ' serikali watajenga barabara'. Dhana hapa 'nitajenga' ina maana nafsi ya mimi , ambayo ni ya mzungumzaji.


Si ndio utaratibu uliwekwa na waasisi wa taifa hili, ukitaka kumfurahisah mtanzania mdanganye, Ukimwambia ukweli kama nilivyosema hapo juu hataki kusikia na anakuchukia.
 
Mbunge. Kustarehe ni haki yake hata sisi wa kawaida tusio wabinge tunastarehe aliofanya mdee mwaka huu mmoja yanaonekana kama hiyaoni kwasababu ya barabara ya msasani pole sana.ila kumbuka walikuwepp wabinge wengine before mdee.
 
Kama yeye alijua haya aliahidi ya nini ndani ya miezi 3 na kwa kauli yake mwenyewe? huu sio utapeli sasa wakuahidi kitu ambacho huna mamlaka nacho?


hii inaonesha ni jinsi gani watanzania wengi walivyo vihiyo wa akili kama wewe uliyempa kura kwa kutegemea kujengewa barabara ndani ya miezi mitatu, na ndio mliosaidia kutuwekea serikali legelege ya ccm na kutufanya wengine tuendelee kula adhabu ya kosa walilolifanya wengine. From my heart I real hate this
 
Kama sio jukumu lake kwa nn kwenye kampeni anasema 'nitajenga barabara' badala yakusema ' serikali watajenga barabara'. Dhana hapa 'nitajenga' ina maana nafsi ya mimi , ambayo ni ya mzungumzaji.


Masaburi sasa hivi una posti ngapi naona unajitaidi kujaza posti kwakuandika ujinga wako ulioshauriana na nape
 
Mkuu unaonekana huna subira kila kitu mipango barabara itajengwa ila kwa kipindi hiki serikali haina pesa za miradi ya barabara humsikilizi magufuri?lindi -mtwara mkandarasi kasepa itakuwa hiyo ya msasani mbona wakazi wamevuta subira mpaka leo hii tuna adhimisha miaka hamsin hakujakuwa conected
 
Kumbuka serikal mean ya chama tawala inabana kuelekeza mirad kweoye upinzani fear of defeat.polepole 2tafika 2 usikate tamaa.
 
Kama sio jukumu lake kwa nn kwenye kampeni anasema 'nitajenga barabara' badala yakusema ' serikali watajenga barabara'. Dhana hapa 'nitajenga' ina maana nafsi ya mimi , ambayo ni ya mzungumzaji.


je hapa wananchi mlimpima kweli kisawasawa kuwa ana uwezo wa kujenga au ndo ule mwendelezo wa wadanganyika, mimi hainiingii akilini mtu aje leo kuomba kula kwa kigezo cha kunijengea barabara ndani ya miezi mitatu, kwani barabara ni choo? Hata kama angekuwa mengi au manji nisingekubali hata kidogo, cha kujiuliza hapo je hiyo barabara imefanyiwa upembuzi wa kikandarasi?, je hela za kuijenga zimeidhinishwa na zimetoka wapi? Hivi hata maswali mepesi nyie hamkujiuliza? Ukifanya upembuzi wa kina utagundua kuwa watanzania wengi bado vihiyo na vilaza wasioweza kuchanganua upi ni ukweli na upi ni uongo na ndio maana tutakuwa tukilalamika kila siku kumtafuta mchawi kama leo unavyofanya GB pasipokutambua wachawi ni watu wenyewe wanaoendelea kutuchagulia serikali legelege
Labda naomba nikuulize GB swali la lizushi, majibu nataka ujijibu mwenyewe pasipo kuweka humu, je unauhakika kweli ulimpigia kura mh. Mdee? Kama hukumpigia basi utakuwa na lako moyoni kwa sababu mi sikutegemea kama ungemlaumu ila ungelaumu watu waliokuchagulia huyu mtu, kuwa wanapaswa kulaumiwa sana tu, pili kama ulimchagua basi wewe utakuwa mpumbavu kama wapumbavu wengine wanaomlalamikia kikwete hajawaletea maisha bora ilihali walikumchagua wao. Kama mlimwamini atawaongoza ya nini mnafika katikati ya bahari mnapoteza imani naye hata kama jahazi linayumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…