Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema ndio chama kikuu cha upinzani Tanzania pia ndio chama cha pili kwa kuwa na wafuasi wengi wabunge na madiwani kikiongzwa na Chama Cha Mapinduzi CCM.
Katika kipindi cha miaka ya 2010 - 2015 CHADEMA kilikimbiliwa na kundi kubwa LA vijana waliojiunga kwa ajili ya kuendesha harakati mbalimbali za kukijenga chama kama vile operation sangara na n.k ambazo zilipelekea wasomi wengi kujiunga na chama hicho.
Lakini kwa sasa chama hicho kimeanza kupoteza mvuto kiasi kwamba idadi kubwa ya viongozi wake kama wabunge madiwani na viongozi Wa jumuia za chama wanakihama chama hicho.
Kitendo hicho kinaashiria kwamba ndani ya chama kuna fukuto waswahili husema "ukiona moshi unafuka tegemea moto kuwaka"
Mimi nadhani kwa sasa CHADEMA inapitia kipindi kigumu sana na inahitaji kujijenga upya na njia nzuri ya kujijenga mimi nafikiri
1) Viongozi wa jitathmini waone bado wanafaa kuiongoza CHADEMA ? kufikia malengo ya kukamata Dola akianza na mwenyekiti
2) CHADEMA iwatambue watu wote waliojenga na kukipigania chama kwa hali yeyote waliyokuwa nayo mpaka ikasimama ndio Mara nyingi wawape nafasi za kuongoza
3)Democrasia ndani ya chama wanachama ndio wawe na maamuzi na sio maamuzi yawe ya MTU mmoja
4) Viongozi na wanachama wakae chini ili watafute chanzo na wawasikilize maoni ya watu na kuyafanyia kazi
5) kuna minong'ono huku mtaani inayotaka mwenyekiti awaachie wengine waongoze chama wenye uwezo na dira oamoja na mawazo mapya
6) CHADEMA iwekeze kwenye vijana na iwaamini ili wafanye kazi
7) CHADEMA ipokee watu ila inapaswa iwachuje kwanza ndio iweze kuwateua kushika nyadhifa mbali mbali
9) CHADEMA lazima ikubali kuzirudisha zile agenda za kupinga rushwa na ufisadi na ijaribu kuepukana nazo ikiwemo kutojihusisha na watu wenye kashfa hizi
Baharia. MZEE ALLY MVIHANGA
0712666821
Katika kipindi cha miaka ya 2010 - 2015 CHADEMA kilikimbiliwa na kundi kubwa LA vijana waliojiunga kwa ajili ya kuendesha harakati mbalimbali za kukijenga chama kama vile operation sangara na n.k ambazo zilipelekea wasomi wengi kujiunga na chama hicho.
Lakini kwa sasa chama hicho kimeanza kupoteza mvuto kiasi kwamba idadi kubwa ya viongozi wake kama wabunge madiwani na viongozi Wa jumuia za chama wanakihama chama hicho.
Kitendo hicho kinaashiria kwamba ndani ya chama kuna fukuto waswahili husema "ukiona moshi unafuka tegemea moto kuwaka"
Mimi nadhani kwa sasa CHADEMA inapitia kipindi kigumu sana na inahitaji kujijenga upya na njia nzuri ya kujijenga mimi nafikiri
1) Viongozi wa jitathmini waone bado wanafaa kuiongoza CHADEMA ? kufikia malengo ya kukamata Dola akianza na mwenyekiti
2) CHADEMA iwatambue watu wote waliojenga na kukipigania chama kwa hali yeyote waliyokuwa nayo mpaka ikasimama ndio Mara nyingi wawape nafasi za kuongoza
3)Democrasia ndani ya chama wanachama ndio wawe na maamuzi na sio maamuzi yawe ya MTU mmoja
4) Viongozi na wanachama wakae chini ili watafute chanzo na wawasikilize maoni ya watu na kuyafanyia kazi
5) kuna minong'ono huku mtaani inayotaka mwenyekiti awaachie wengine waongoze chama wenye uwezo na dira oamoja na mawazo mapya
6) CHADEMA iwekeze kwenye vijana na iwaamini ili wafanye kazi
7) CHADEMA ipokee watu ila inapaswa iwachuje kwanza ndio iweze kuwateua kushika nyadhifa mbali mbali
9) CHADEMA lazima ikubali kuzirudisha zile agenda za kupinga rushwa na ufisadi na ijaribu kuepukana nazo ikiwemo kutojihusisha na watu wenye kashfa hizi
Baharia. MZEE ALLY MVIHANGA
0712666821