Utani mzuri wa kucheza na maneno ila kwa upande wangu umeharibu kwa kuweka neno jimboni.Habari Nilizozipata Hivi Punde Zinasema Mwenyekiti Wa Chadema Taifa Mh.Freeman Mbowe Hayupo Hai (jimboni) Tena Na Yupo Jijini Dar Es Salaam Akiendelea Na Shughuli Za Kiofisi