Mh. Makonda anawatendea haki Vijana

Mh. Makonda anawatendea haki Vijana

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,253
Reaction score
16,184
Kama vijana tungekuwa tunajituma kama Makonda wazee wangetuamini na kutupisha kwenye viti vyao tukae, maana wasingekuwa na hofu na sisi labda kwa wale wenye uchu wa madaraka kama yule mzee wetu wa Bunda.

Kazi ya Meya wa Dar es Salaam ni kama vile haipo tena. Naomba Rais Magufuli kama ananisikiliza kwa heshina na taadhima ambadilishie kazi huyu kijana awe Waziri Mkuu, over!!!
 
Kama vijana tungekuwa tunajituma kama Makonda wazee wangetuamini na kutupisha kwenye viti vyao tukae, maana wasingekuwa na hofu na sisi labda kwa wale wenye uchu wa madaraka kama yule mzee wetu wa Bunda.

Kazi ya Meya wa Dar es Salaam ni kama vile haipo tena. Naomba Rais Magufuli kama ananisikiliza kwa heshina na taadhima ambadilishie kazi huyu kijana awe Waziri Mkuu, over!!!
Acha mfananisha Majaliwa na mambo ya kijinga!!
 
Hana hadhi ya kuwa PM,yaani hapo umemdhalilisha sana Mh Majaliwa kwa kushauri nafasi yake apewe Makonda!!!!PM tuliyenaye yupo vizuri sana kiutendaji so acha kumvunjia heshima kumlinganisha na huyo dogo wenu.
 
Ulianza vizuri ila hapo ulipogusa kwa PM ndio umeonyesha kiwango chako cha ujinga
 
Kama vijana tungekuwa tunajituma kama Makonda wazee wangetuamini na kutupisha kwenye viti vyao tukae, maana wasingekuwa na hofu na sisi labda kwa wale wenye uchu wa madaraka kama yule mzee wetu wa Bunda.

Kazi ya Meya wa Dar es Salaam ni kama vile haipo tena. Naomba Rais Magufuli kama ananisikiliza kwa heshina na taadhima ambadilishie kazi huyu kijana awe Waziri Mkuu, over!!!
MAKONDA Lili ni jembe,
 
Ulianza vizuri ila hapo ulipogusa kwa PM ndio umeonyesha kiwango chako cha ujinga
ni mawazo yangu usiniite mjinga, huo ni udikteta na uchochezi, jifunze kuvumilia mawazo mbadala
 
Acha mfananisha Majaliwa na mambo ya kijinga!!
Majaliwa ni jembe pia lakini angefaa wizara nyeti kama ya Utalii na mali asili na kumpunzisha mzee wa watu mwenye kesho chache akapunzike ale pension yake. Hawa wazee wameshafanya kazi vya kutosha kumwambia akimbizane tena na kasi Rais Magufuli ni kutomtendea haki. Kumtumbua au kumkalipia mzee kama huyu kunaweza kumpunguzia afya yake.
 
Mkakati wa kuirudisha dar katika mikono ya ccm waruhusu mikutano ya hathara tujue na upande wapili kwenye kero kubwa kubwa za mabilioni
 
Huyu alieanzisha huu uzi unaweza ukakuta ni makonda,anatafuta kiki ya kujipendekeza,maana ndio tabia zake mpk akapewa ukuu wa mkoa.

Ndio zake kujipendekeza huyu
 
Back
Top Bottom