Mh. Magufuli, Nyanza Road barabara imewashinda!

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Kutokana na utafiti ;

Kampuni ya nyanza Road inayojenga barabara ya jet corner- devis corner Temeke. wameshindwa kazi

1. Barabara ina mawimbi sana, tayari ishaanza kuharibika!

2. Layer ya juu kapaka Lami

3. Anaziba viraka badala ya kuondoa lami iliyokuwepo na kujenga mpya

4. Stendi ya JET CORNER haifai, barabara za kuingilia na kutokea hazieleweki

5. Pale ndo uso wa mji ; Tafuta mtu wa kutengeneza kituo cha daladala km mbezi sio Nyanza

6. Lami imepindishwa kisa ipitie shule za spika wa bunge ''uchunguzi ufanyike tujue ramani ya lami''

Pole na kazi
 

Attachments

  • Magufuli2(2).jpg
    Magufuli2(2).jpg
    18 KB · Views: 56
Kutokana na utafiti ;

Kampuni ya nyanza Road inayojenga barabara ya jet corner- devis corner Temeke. wameshindwa kazi

1. Barabara ina mawimbi sana, tayari ishaanza kuharibika!

2. Layer ya juu kapaka Lami

3. Anaziba viraka badala ya kuondoa lami iliyokuwepo na kujenga mpya

4. Stendi ya JET CORNER haifai, barabara za kuingilia na kutokea hazieleweki

5. Pale ndo uso wa mji ; Tafuta mtu wa kutengeneza kituo cha daladala km mbezi sio Nyanza

6. Lami imepindishwa kisa ipitie shule za spika wa bunge ''uchunguzi ufanyike tujue ramani ya lami''

Pole na kazi
Unawajua NYANZA CONSTRUCTION lakini ?
 
Back
Top Bottom